Mwanaume limbukeni

Asante kwa mfafanuo mzuri...

Ni Wanaume wa shoka peke yake ndio wataelewa hili na sivinginenyo.
 
huu ni mfano ambao umebase kwa watu walio karibu na wanawake kwa namna moja au mbili
Umenijibu kistaarabu hadi najiona fala, samahani kwa kutumia lugha ya kero.

Mwisho wa siku kila mtu na maono yake hatuwezi wote kua na mtazamo sawa.
 
Ikishafikia hatua tamu ya Mume wako unawagawia hadi Bodaboda,Wachora Kucha,Wakopesha Vyombo basi hapo ujue huna mke...

Kama unataka kumsaliti Mumeo basi hakikisha unamsaliti Kwa mtu ambaye hata ikitokea Mumeo amekufumania na kukupata talaka basi walau ataweza hata kukuhudumia Siku mbili tatu.

Kalagha baho 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…