cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kanyaga twende
Safi sana.
Safi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du hayo makamera kamera na vifaa vya kunywea chai ndo vifaa vya kisasa? Te te te te te te kW kwelView attachment 572587 Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga. Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics),vifaa vya kukalia (maarufu kama viti),kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa,extension cables zenye urefu usioelezeka,acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28]Haha Evelyn Salt njoo uone extension cables zenye urefu usioelezeka
hahahahahahaHaha Evelyn Salt njoo uone extension cables zenye urefu usioelezeka
Sijui msaga sumu huwa anawaza nini jamani. Sasa akimuongelea le mutuz ndo huwa nachoka kabisa hahahahahahahahaha
Yani mimi nasema waibe twiga wetu lakini wasije wakamuiba Lemutuz....Kwangu ni mmoja wa viumbe vinavyo nipa furaha sana hakika kila nikimuona huwa nafurahi sana....hakika Lemutuz ni nyara ya taifa
Hila hapo kwenye extensio cable zenye urefu usio elezeeka na vifaa vya kunywea chai na coffee hakika nimecheka sana.....Msaga sumu ni mtu mbaya sana...
Kweli kabisa hakika Jf kuna vipaji.....Msaga sumu anajua kusimulia na kuremba story wangepiga hela sana... aisee hii taarifa naisoma kila muda nacheka sana hasa nikiangalia mambo yaliyomo kwenye picha hahahaMsaga Sumu ktk ubora wake. Hivi Shigongo hajui pa kupatia hela? Kamata Msaga Sumu weka GPL watu wagombanie mazageti yako brooo
hahaha daa mimi nasoma hii habari mara kwa mara nacheka sana....jamaa anajua sana kupamba story na kusimulia...Sijui msaga sumu huwa anawaza nini jamani. Sasa akimuongelea le mutuz ndo huwa nachoka kabisa hahaha
hahahahahaha