Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

Huu naona kama vile ni utani,ngoja niendelea kusubiri nione huu ubunifu utakavyoweza kufanya kazi.
 
View attachment 572587 Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga. Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics),vifaa vya kukalia (maarufu kama viti),kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa,extension cables zenye urefu usioelezeka,acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji
Watu kumi na mbili wamelaiki hii kitu mpaka wakati nachangia, Serious? mme like kwa kum joki au mko serious? kweli watu wabaya sana, sasa hio ni studio ya Tv au studio ya kupiga picha? amakweli wahenga walisema jambo usilolijua nikama ...... Na hivyo vikamera vya kupigia video za harusi ndo vya kusifia hivyo?
Nahuo mtambaa hapo nyumba wa rangi ya CCm utafikiri ni studio ya kupigia picha za kuweka kenye kadi za chama chetu pendwa.

Ngoja tumuone Ayo.
wp-1472458101294.jpeg



Huyu jamaa le babuz angekuwa na mitambo kama hii si ingekuwa shida mujini?
16mgfl.jpg



CdC0_69WoAATifc.jpg
 
View attachment 572587 Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga. Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics),vifaa vya kukalia (maarufu kama viti),kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa,extension cables zenye urefu usioelezeka,acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji
upload_2017-8-23_9-55-7.jpeg

upload_2017-8-23_9-55-34.jpeg

- Msingi wa Studio yoyote duniani ya TV huu hapa kwenye hizi picha mbili tu ukiwa na hivi vifaa tu ndio, na mto post najua unajua vizuri sana maana ya picha ya kwanza hapo juu kwamba ndio hasa the main things kwenye studio na najua unaijua mpaka bei ya hivyo vitu, so relax boss kama ni gharama ya kuitengeneza hii studio najua unaijua vizuri sana so karibu sana bado tunazo ajira U know

le Mutuz
 
Watu kumi na mbili wamelaiki hii kitu mpaka wakati nachangia, Serious? mme like kwa kum joki au mko serious? kweli watu wabaya sana, sasa hio ni studio ya Tv au studio ya kupiga picha? amakweli wahenga walisema jambo usilolijua nikama ...... Na hivyo vikamera vya kupigia video za harusi ndo vya kusifia hivyo?
Nahuo mtambaa hapo nyumba wa rangi ya CCm utafikiri ni studio ya kupigia picha za kuweka kenye kadi za chama chetu pendwa.

Ngoja tumuone Ayo.
wp-1472458101294.jpeg



Huyu jamaa le babuz angekuwa na mitambo kama hii si ingekuwa shida mujini?
16mgfl.jpg



CdC0_69WoAATifc.jpg

- hahahahaha mbona umechanganya picha za ukweli na zisizokuwa zake, kisa na mkasa ni nini hasa? hahahahaha sisi tunasonga mbele mkuu kazi kazi ndio imeshaanza hahahahahaha mtakufwa tu kwa presha hahahahaha

le Mutuz
 
- Thanks boss ila bado hatujamaliza na vifaa weekend hii kuna vifaa vinakuja kutoka Nairobi, bado hatujaweka Computers za kazi hapa bado kidogo lakini tupo right on track

le Mutuz
Natamani nikutembelee nijifunze kitu kwako
 
Huyu babu ana matukio mengi ya kutia aibu.
upload_2017-8-23_10-27-9.jpeg


- Vijana wameshaanza mazoezi baada ya kupata ajira hapa kwenye new studio, kama kutoa ajira kwa vijana kama hawa na kuwatoa mtaani ni aibu then naomba nibebe hiyo aibu, i hope na wewe unafanya mambo kama yangu ya kusaidia kuondoa vijana mtaani na kuwapa ajira!

le Mutuz
 
ha ha ha..."eti extension cables zenye urefu usioelezeka" wakati kachumba kenyewe kana mita mbili.
kweli wanaume wa dar wanaishi kwa mipasho na chips mayai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha ha ha..."eti extension cables zenye urefu usioelezeka" wakati kachumba kenyewe kana mita mbili.
kweli wanaume wa dar wanaishi kwa mipasho na chips mayai

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-8-23_10-42-26.jpeg


- hahahahaha sure hii ni sehemu maalum ya kurekodia vipindi ni 10 x 10 nafikiri unajua Square Meter moja kwa hapa doantown baei yake so cha msingi ni location zaidi
upload_2017-8-23_10-45-13.jpeg


- Huu upande wa pili ni ofisi ya productions na Blog, tuna nafasi ya kutosha kwa wale tuliowahi kuishi nje ya nchi kuwa na ofisi au studio downtown sio kitu rahisi nyie wadanganyeni waiojua lolote humu na hawajawahi kwenda popote ndio wanawaweza kuwashangilia lakini sio mtu aliyeishi nje na anajua thamani ya vifaa tulivyonavyo so far na bado hatujamaliza,

- Kuna mackbook desktops zinakuja from Nairobi, na bado kuna meza zinatengenezwa hazijaisha zinakuja sepcial kwa ajili ya kazi so guys tupo sawa saana na right on the track

le Mutuz
 
Back
Top Bottom