Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

Du hayo makamera kamera na vifaa vya kunywea chai ndo vifaa vya kisasa? Te te te te te te kW kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha Evelyn Salt njoo uone extension cables zenye urefu usioelezeka
hahahahahaha
Yani mimi nasema waibe twiga wetu lakini wasije wakamuiba Lemutuz....Kwangu ni mmoja wa viumbe vinavyo nipa furaha sana hakika kila nikimuona huwa nafurahi sana....hakika Lemutuz ni nyara ya taifa
Hila hapo kwenye extensio cable zenye urefu usio elezeeka na vifaa vya kunywea chai na coffee hakika nimecheka sana.....Msaga sumu ni mtu mbaya sana...
 
Watanzania tunajua kumkatisha mtu tamaa. Nyie mwenzenu kathubutu kufanya hiko kidogo. Wengine mnambeza hapa ila hamna hela hata ya kununua mic moja ya laki 5 nyambf zenu. Mwacheni huyo jamaa anapigana na life lake. Hata akiwa na chumba ka choo haiwahusu. Mbona mna akili ndogo kama ya liso

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui msaga sumu huwa anawaza nini jamani. Sasa akimuongelea le mutuz ndo huwa nachoka kabisa hahaha
 
Msaga Sumu ktk ubora wake. Hivi Shigongo hajui pa kupatia hela? Kamata Msaga Sumu weka GPL watu wagombanie mazageti yako brooo
Kweli kabisa hakika Jf kuna vipaji.....Msaga sumu anajua kusimulia na kuremba story wangepiga hela sana... aisee hii taarifa naisoma kila muda nacheka sana hasa nikiangalia mambo yaliyomo kwenye picha hahaha
 
Sijui msaga sumu huwa anawaza nini jamani. Sasa akimuongelea le mutuz ndo huwa nachoka kabisa hahaha
hahaha daa mimi nasoma hii habari mara kwa mara nacheka sana....jamaa anajua sana kupamba story na kusimulia...
jamaa ana kipaji sana sijui kama ana fahamu hili swala....nimecheka sana hii story...kifaa maalum cha kunywea chai hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…