SPSS
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 711
- 388
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss naomba kibarua hapoView attachment 573127
- hahahahahahaha hivi unajua bei ya hivi vifaaa au unaota? hahahhahahaha mmeupanda mkenge kama kawaida huwa mna kelele nikiwa sipo unaona nikiwepo kelele kwishney hahahahahah soma hivyo namba vizuri hahahaha
le Mutuz
Idiot, KAZI YA MEDIA KUPIGA KELELE? kweli umetukana watu wa media kabisaaaa. kunatofauti kati ya kupiga kelele na kutoa sauti kubwa. Kazi ya kupiga kelele ni ya wanasiasa na wanaharakati. LAKINI JUA KUWA WAHENGA WALISEMA, KIZURI CHAJIUZA KIBAYA ............... kwa hiyo Bigman endelea kupiga kelele kufanya calculation ili kupromote studio yako ya kupiga picha za vitambulisho. TUKO PAMOJA TUNAKUUNGA MKONO, SIO KILA ANAE KUPINGA YUPO KINYUME NAWE.- hahahaha kazi yangu ni Media yaani kupiga kelele ila kwa vile uwezo wako ni mdogo sana wa kuelewa ndio maana hujui kwamba kelele zangu huwa ni calculated ninapoi promote studio yangu kabla ya kuanza kuna ninayoyalenga na on a serious note ninayapata, hii sio kazi ya jeshi that inahitaji siri kwenye media tunapiga kelele ila kelele za sababu pole sana jifunze kufikiria sana next time kabla hujarukia treni kwa mbele
le Mutuz
I'm humbled you know
Even a black folk hate to see another nigga made it..
Aiseee umefanana na Le MutuzNdugu yangu MSAGA SUMU kitu kikishafika Tanzania ujue kwa wenzetu kishakuwa old fasheni kabisa...
Four G inayotamba kwasasa niliikuta China 2014
Touch screen imeingia bongo 2006, niliikuta Japan 1999
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili zee bwana..limezoea kukaa na wabebezzz ndio mana amekuwa akiiga hizo staili.Na ye anabenjua midomo kama wale wadada wa Snapchat na Instagram..
Sent using Jamii Forums mobile app
Action speaks louder, more pop corns '' waiting for real action ''View attachment 573127
- hahahahahahaha hivi unajua bei ya hivi vifaaa au unaota? hahahhahahaha mmeupanda mkenge kama kawaida huwa mna kelele nikiwa sipo unaona nikiwepo kelele kwishney hahahahahah soma hivyo namba vizuri hahahaha
le Mutuz
Idiot, KAZI YA MEDIA KUPIGA KELELE? kweli umetukana watu wa media kabisaaaa. kunatofauti kati ya kupiga kelele na kutoa sauti kubwa. Kazi ya kupiga kelele ni ya wanasiasa na wanaharakati. LAKINI JUA KUWA WAHENGA WALISEMA, KIZURI CHAJIUZA KIBAYA ............... kwa hiyo Bigman endelea kupiga kelele kufanya calculation ili kupromote studio yako ya kupiga picha za vitambulisho. TUKO PAMOJA TUNAKUUNGA MKONO, SIO KILA ANAE KUPINGA YUPO KINYUME NAWE.
Hili zee bwana..limezoea kukaa na wabebezzz ndio mana amekuwa akiiga hizo staili.
Action speaks louder, more pop corns '' waiting for real action ''
Em ona aibu basi...hiyo camera cannon EOS rebel T5i (700D) ndio unajitapa nayo kuwa umenunua bei kubwa kwanza ina 18.0 MP tu... Afu toleo La zamani ani . em tafuta hata rebel T6i kidogo ... Najiuliza ungekuwa na cannon EOS 5DS 50.6MP full flame je [emoji35] [emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
ila punguza show off za kitoto piga kazi bro- Kwenye media tunaongozwa na kelele zilizoenda Shule kama zangu, so relax and enjoy the show
le Mutuz
Babu si nimekuamkia lakini mbona huitiki? Shikamoo tena babu- Kwenye media tunaongozwa na kelele zilizoenda Shule kama zangu, so relax and enjoy the show
le Mutuz
ila punguza show off za kitoto piga kazi bro
Mkuu hapo ofisi kwako vibarua vinapatikana ?View attachment 573213
- una maana kama hii na le mbebezzz Super Mtindiz Rangi ya Mtume au? hahahahaha
le Mutuz
Haaaaa haaaaa haaaaa aisee we jamaa hujuagi kununa!!! Hongera sana mkuu umefaa kuwa king of all social media- hahahahahaha marahaba kijana mdogo hahahahaha mmekwama mpaka mnaamkia kudadeki hahahahaa
le Mutuz