Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

- hahahaha kazi yangu ni Media yaani kupiga kelele ila kwa vile uwezo wako ni mdogo sana wa kuelewa ndio maana hujui kwamba kelele zangu huwa ni calculated ninapoi promote studio yangu kabla ya kuanza kuna ninayoyalenga na on a serious note ninayapata, hii sio kazi ya jeshi that inahitaji siri kwenye media tunapiga kelele ila kelele za sababu pole sana jifunze kufikiria sana next time kabla hujarukia treni kwa mbele

le Mutuz
Idiot, KAZI YA MEDIA KUPIGA KELELE? kweli umetukana watu wa media kabisaaaa. kunatofauti kati ya kupiga kelele na kutoa sauti kubwa. Kazi ya kupiga kelele ni ya wanasiasa na wanaharakati. LAKINI JUA KUWA WAHENGA WALISEMA, KIZURI CHAJIUZA KIBAYA ............... kwa hiyo Bigman endelea kupiga kelele kufanya calculation ili kupromote studio yako ya kupiga picha za vitambulisho. TUKO PAMOJA TUNAKUUNGA MKONO, SIO KILA ANAE KUPINGA YUPO KINYUME NAWE.
 
I'm humbled you know

Even a black folk hate to see another nigga made it..

- hahahaha ndio maana ya akili kubwazzz yaani unakuwa umewaacha watu mbali sana kwa uwezo mkubwa wa kufikiri sasa kujiliwaza wanakuja na makelele mengi like here mnanisaidia tu na promo za bure thanks guys

le Mutuz
 
Idiot, KAZI YA MEDIA KUPIGA KELELE? kweli umetukana watu wa media kabisaaaa. kunatofauti kati ya kupiga kelele na kutoa sauti kubwa. Kazi ya kupiga kelele ni ya wanasiasa na wanaharakati. LAKINI JUA KUWA WAHENGA WALISEMA, KIZURI CHAJIUZA KIBAYA ............... kwa hiyo Bigman endelea kupiga kelele kufanya calculation ili kupromote studio yako ya kupiga picha za vitambulisho. TUKO PAMOJA TUNAKUUNGA MKONO, SIO KILA ANAE KUPINGA YUPO KINYUME NAWE.

- hahahahaha tunapiga calculated noises ila kelele zako ndio bure huna lengo wala mission, tulia wewe njoo hapa nikupe darasa faida ya my kelelezz hahahahaha shule zero!

le Mutuz
 
Hili zee bwana..limezoea kukaa na wabebezzz ndio mana amekuwa akiiga hizo staili.
upload_2017-8-23_12-38-39.jpeg


- una maana kama hii na le mbebezzz Super Mtindiz Rangi ya Mtume au? hahahahaha

le Mutuz
 
Back
Top Bottom