Mwanaume masikini ni lofa, hapaswi kupendwa

Mwanaume masikini ni lofa, hapaswi kupendwa

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.

Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.

Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
 
Tafuta hela Mimi sijasoma ila Nina pesa na ni mtoto mdogo tu miaka 28 wewe kula hayo makaratasi yako
Ooh oohh.
Oneni huyu mtanzania et 28 ni mtoto.
Wenzio at that age tuna mke na watoto kadhaa tunasomesha halaf wewe unajiona mtoto.

Hela hazikaagi kwa watu wenye mkndset kama hii.
GRow up first
 
Ooh oohh.
Oneni huyu mtanzania et 28 ni mtoto.
Wenzio at that age tuna mke na watoto kadhaa tunasomesha halaf wewe unajiona mtoto.

Hela hazikaagi kwa watu wenye mkndset kama hii.
GRow up first
Tafuta hela mzee umezeeka unahasira kisa huna pesa tafuta hela kusomesha ni wajibu wako tafuta hela
 
Back
Top Bottom