Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Huku ulipoingia utakimbia na ndala mkononiTafuta pesa Mimi ni mtoto mdogo ila pesa zipo nyingi wewe umeshazeeka ila huna pesa tafuta pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku ulipoingia utakimbia na ndala mkononiTafuta pesa Mimi ni mtoto mdogo ila pesa zipo nyingi wewe umeshazeeka ila huna pesa tafuta pesa
Huna Malinda Wewe PungaMimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
Limekupitia mbele yako?Kundu
Kuna jamaa kule juu kapost thread ya huyu mwamba ya mwaka 2022 alikuwa anaogopa kumzalisha demu kisa hana hela afu ana 25 yearsHuku ulipoingia utakimbia na ndala mkononi
We nakupungia na Wewe PungaTapeli naona kaamua kuja na huku jamii forums kutapeli watu.
Nakupungia PungaTena tajiri yuko jamii forums[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KundutapeliWapi wewe tapeli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utapigwa nyumaNakupungia Punga
Tafuta helaHuku ulipoingia utakimbia na ndala mkononi
Tafuta helaWatu wenye pesa huwa hatuandiki nyuzi za namna hii...
Sasa nimeanza kuamini wewe ni lofa mara mbili! Kama hata wanawake masikini wanapata nafasi ya kuwa karibu na wewe kiasi cha kuzungumza hivyo, wewe ni lilofa tu! Huna mbele wala nyuma! Ni ngumu sana kwa masikini kumkaribia tajiri kama wanavyokuchezea wewe! Matajiri wanazungukwa na ma'body guards', wanaishi mitaa ya kitajiri siyo kama wewe kila wakati upo mitaa ya kichokoraa unaongea na wanawake masikini!, Wapo busy kutafuta hela, hawana muda wa kupoteza kuongea ongea na malaya kama ufanyavyo wewe! Wao hata wakimpenda dem fulani hutuma mtu akamtongozee!!Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.
Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.
Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
Tafuta hela binti hasira hazitokusaidia punguza kuandika gazetiSasa nimeanza kuamini wewe ni lofa mara mbili! Kama hata wanawake masikini wanapata nafasi ya kuwa karibu na wewe kiasi cha kuzungumzia hivyo, wewe ni lilofa tu! Huna mbele wala nyuma! Ni ngumu sana kwa masikini kumkaribia tajiri kama wanavyokuchezea wewe! Matajiri wanazungukwa na ma'body guards', wanaishi mitaa ya kitajiri siyo kama wewe kila wakati upo mitaa ya kichokoraa unaongea na wanawake masikini!, Wapo busy kutafuta hela, hawana muda wa kupoteza kuongea ongea na malaya kama ufanyavyo wewe! Wao hata wakimpenda dem fulani hutuma mtu akamtongozee!!
Ndio ndioKumbe mmekubaliana
Duuh 😑😑😕Ndio ndio