Mwanaume masikini ni lofa, hapaswi kupendwa

Mwanaume masikini ni lofa, hapaswi kupendwa

Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.

Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.

Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
We takataka wenye ela utatoka? we hakuna mwanamke atawahi kukupenda, kwanza ela huna na ukitumia ela zikiisha atasepa, sura bovu, akili huna, kingereza hujui, kusoma tabu, huna career ya maana, we unadhani una nini labda? watu wanapendana kwa shida na raha, nyie ndio mnaoa malaya, eti matunzo, ye gari? Sema nyie washamba muwe mnakaa vijijini kwenu tu. Ulimbukeni utawakost mjini.
 
Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.

Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.

Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
We takataka wenye ela utatoka? we hakuna mwanamke atawahi kukupenda, kwanza ela huna na ukitumia ela zikiisha atasepa, sura bovu, akili huna, kingereza hujui, kusoma tabu, huna career ya maana, we unadhani una nini labda? watu wanapendana kwa shida na raha, nyie ndio mnaoa malaya, eti matunzo, ye gari? Sema nyie washamba muwe mnakaa vijijini kwenu tu. Ulimbukeni utawakost mjini.
 
We takataka wenye ela utatoka? we hakuna mwanamke atawahi kukupenda, kwanza ela huna na ukitumia ela zikiisha atasepa, sura bovu, akili huna, kingereza hujui, kusoma tabu, huna career ya maana, we unadhani una nini labda? watu wanapendana kwa shida na raha, nyie ndio mnaoa malaya, eti matunzo, ye gari? Sema nyie washamba muwe mnakaa vijijini kwenu tu. Ulimbukeni utawakost mjini.
Umeolewa Binti mbona hasira sana ?
 
Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.

Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.

Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
Kama nawe humtegemea mwanaume ili utambe mjini huna tofauti sana na huyo mama ombaomba, ni mda tu unawatofautisha
 
Afu mbona watu mmechukulia serious sana hii post 😂😂😂
 
Huyu toka alivyojifunza neno “Tafuta hela” darasa la nne ikawa wimbo akiwa anatumwa dukani asisahau hence the repitition kila muda neno hilo hilo😏this generation may the one above have mercy on you…
 
Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.

Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.

Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.

Wewe ndio mwanaume lofa. Mwanaume mwenye hela hajitangazi. Hela zinampigia debe. Ukiona mwanaume anajisifia, jua hamna kitu. Tapeli anataka kutapeli wanawake
 
Back
Top Bottom