Hamna kujinyonga wala nini...ni Upendo tu...usikariri maisha...Hao wanaowabembeleza ndio huwa wanajinyonga na ndio wakivurugana na wanawake zao na maisha yao yanaharibika kabisa ila sisi group O hiyo sio kesi sana kwetu coz ni waumini wa mitala
Aya acha wawapende lakini uje ujaribu kumzingua kidogo uone reaction yake,mwingine analia yaani mbele ya mwanamke huu ugentleman cjawahiHamna kujinyonga wala nini...ni Upendo tu...usikariri maisha...
Kweli mkuu nawaangusha maana nakosa uamuzi,ila nitatumia sister zangu wamface alafu wao ndo watanipa majibu kamili ili uamuzi wangu uwe kamili binafsi ninekua na huruma japo yeye hajali kuhusu mimi tenaHAPO SASA UNAZINGUA..UNATUZINGUA CHAMA LETU WANAUME..ACHA ULOFA BRO
Ukisha mbembeleza halafu kosa ni lake mnavimba kichwa. Kesho utarudia yale yale ukitegemea nitajikomba tena.
Mmmmmmmmh!!!! Mbona kama imefikia pabaya..Hauwezi kushindana na ulipotoka na ukashinda hata siku moja hiyo hiyo papuchi unayoikashifu ndo inakutia wenge na ndo hiyo hiyo inakuletea watoto wako, have some respect you uncultured swine, shame on you.
Ningekuwa mke wako mbona ningekunyoosha wewe wanaume kama nyie dawa yenu ni ndogo sana tatizo mnapataga wanawake mabolizozo ndo maana mna jeuri ya kusema hayo, look at what a wasted sperm you are, pitty.
kuna mahala lugha laini haitakiwi kabisa najua arifu....lazima upime uone..sometimes kutokana na yeye kibano muhimuHicho kibaya labda nisinzie anivizie,amekula mbata na mambo yanaenda na papuchi kama kawa
Wanawake huwa wanatabia ya kutest mitambo kwamba yuko mahali sahihi? Ndo akili zenyewe hizo unatakiwa kung'amua lengo mapema
Eti ananitisha mwenyekiti ananiita nikakausha mara mwenyekiti ananiita kwa mara ya mwisho nikamtolea uvivu kwamba wote na mwenyekiti mtachezea kichapo na akakuoe kama mnapendana,kukawa kimya hadi leo hii maisha yanasonga so mm huwa sina lugha laini kwa mwanamke anayenifanyia kusudi ili aone itakuwaje
FRESH MKUUKweli mkuu nawaangusha maana nakosa uamuzi,ila nitatumia sister zangu wamface alafu wao ndo watanipa majibu kamili ili uamuzi wangu uwe kamili binafsi ninekua na huruma japo yeye hajali kuhusu mimi tena
Kuna rafiki yangu mmoja anawaambiaga wanaume wenzie ukiona mmegombana na mkeo akakununia wewe nenda kakaze mifuniko yote ya ndoo ndani kwenu yaani hakikisha umekaza kwa nguvu hadi anashindwa kufungua
Au mfichie vitu vyake vya muhimu na hakikisha umeficha sehemu ambayo hawezi kuviona yaani kwa namna yoyote ile akikosa msaada lazima atakuja tu kukuongelesha kukuomba umsaidie
Sasa alivyosema hivyo angalau nikaona kuwa huyo ni mwanaume kweli hata kama hawezi kukufuata kukubembeleza basi atatafuta tu namna ya wewe kuja kumuongelesha yaani angalau ataonyesha jitihada za kutaka msuluhishe na mwanamke ukiona hivyo unajiongeza
Kuliko yule mwanaume ambaye mkigombana unakuwa ndo umempata nafasi ya kwenda kulala nje ya nyumba yenu miezi na mchepuko na usipomsemesha ndo nitolee hiyo yaani hata yeye haonyeshi jitihada yoyote ya kutaka umuongeleshe aise kuna midume ina gubu halafu mtoto wa kiume kususa au kununa haipendezi jamani looh
Mwambie huyo takataka niliyemquoteMmmmmmmmh!!!! Mbona kama imefikia pabaya..
Yeah, kuishi na mwanamke kwa akili kuna mengi humo katikakati. I wouldn't say I'm so sorry directly, lakini kwa matendo yangu utajua nimeomba msamaha na najutia nilichofanya, lakini eti "samahani mke wangu, nisamehe"..teh nah nah!!
Hivyo ndo vizuri hata kama hakuweza kusalimu amri directly aliamua atumie indirect way ya kutaka msuluhishe kwa kukufichia simu yako tofauti na yule ambaye mkigombana wewe unasema usubiri asalimu amri kumbe mwenzako anasubiri useme muachane ili kila mtu ashike hamsini zakeHapo umenishitua, kuna siku bibie aliitumia hiyo intelligence kwa kuficha simu yangu, dah nilitafuta mpaka nikaomba poo ikabidi nimuulize tu ili hali nilipanga nipige kimya mpaka atakapo salimu amri
Vitu ambavyo mnavuchukulia ni udhaifu ndivyo vitu ambavyo vitafanya ndoa idumu kwa amani usipende kumfanyia mwenzio yale ambayo wewe haupendi kufanyiwa“ Nisamehe mke wangu “ BIG NO, udhaifu mkubwa sana kwa jinsia ya Me
SEMA Inategemea kazingua nini kwa kiwwango gani kuna mengine arisu no kubembeleza...in such sio kubebmebelza kiivo akizingua yani unapima...ila mi huwa nabebmbeleza nikiwa kwenye UFISI MODE tehetehe
Vitu ambavyo mnavuchukulia ni udhaifu ndivyo vitu ambavyo vitafanya ndoa idumu kwa amani usipende kumfanyia mwenzio yale ambayo wewe haupendi kufanyiwa
Kama wewe haupendi kuombwa msamaha ukikosewa basi na wewe ukikosea usiombe msamaha ila kama unapenda kuombwa msamaha ukikosea basi na wewe ukikosea omba msamaha
Hivyo ndo vizuri hata kama hakuweza kusalimu amri directly aliamua atumie indirect way ya kutaka msuluhishe kwa kukufichia simu yako tofauti na yule ambaye mkigombana wewe unasema usubiri asalimu amri kumbe mwenzako anasubiri useme muachane ili kila mtu ashike hamsini zake
Imeandikwa wapi kwamba kuomba msamaha ni kujidharaulisha? Yaani kweli kabisa wanaume mnaona kuwaomba msamaha wake zenu ni kujidharaulisha? Kwani wake zenu ni miti au? Hivi kwani wanaume mnatuchukuliaje wanawake?Ukwel mwanaume kuomba msamaha kwa maneno ni udhaifu mkubwa, fanya kuomba kwa matendo ili siyo kwa kujidharaulisha kihivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haki ya nani wanawake aliyeturoga alishakufaIla kwa experince yangu
Wanaume ni wagumu sana kuomba msamaha.
Mm mtu akinikosea nawish nimuone nimwambie live taratibu kuwa sipendi ichi sipendi hiki jibu utakalojibiwa sana hapo utaambiwa "sawa nmekuelewa yaishe" sio samahani, inauma ila utafanyaje sasa mana ukitegemea utaombwa msamaha.
Siku mwanaume akisema samahani ujue amekosea kweli kweli kiasi kwamba anahisi mahusiano yako hatarini kwa 90% kwa kosa alilofanya.
Lakini sisi wanawake hata ukiropoka "mjinga" unaomba samahani kama zote... ukiona husamehewi unaumwa na kuumwa homa ya kulazwa kabisa jinsi tulivyo desperate hasa kipindi cha magu[emoji3][emoji3][emoji3]