Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Duh! Kashakuchoka huyo alikuwa anatafuta sababu muachane na alipoikosa ameamua kufukua kaburi makusudi.
Forreal mkuu maan ilikua ishu ishaisha kabisa nami nikajicomit nafsin mwangu kwamba sitamkosea japo mungu namkosea ila yeye nilisema hayastahili ninayoyafanya nikaacha na kucheat nikafuta kabisa ktk ratiba zangu haah alivyokuja nitibua tena ndo mawee
 
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale

Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee

Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako

Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana

Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa


Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake

Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena

Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana

Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi

Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia

Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano

Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
bora iwe hivyo maana mahusiano ya leo akikosea halafu uanze kumbembeleza yeye anakuona fala kesho anafanya tena na ka dharau moyoni anasema '' ataniitafuta yule anajifanya tuu sasa hivi''
 
ila wewe unataka akuambie naomba unisamehe bhagosha

kwani tofauti iko wapi jamani?

wote si mna mioyo ya nyama jamani au?

afu kuna utofauti wa maumivu ya kihisa ambayo mwanaume au mwanamke anaweza kupata?

afu ni kwa logic gani unatumia kusema mwanamke kukusamehe ni lazima?

msamaha huwa unalzimishwa?
Kwa hyo wewe ukiomba msamaha manake una maanosha akitaka atakusamehe na asipotaka potelea mbali au unaomba msamaha kutaka usamehewe mukuu?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umeniona vile. Naweza Nuna hata mwezi. Niliachana na mrembo mmoja hivi hivi. Ana kakiburi fulani hivi. Nikakausha na yeye akakusha. Mara wiki mara mwezi.
Mwisho wake ulikuwaje?
 
Ukosee halafu nikubembeleze huu upuuzi sifanyi...

Sifugi ujinga,mwanamke Ni Kama mtoto sasa mtoto akosee halafu mzoeshe kumbembeleza uone kama siku hajasema mamyyyy bitchhh.
 
Yani unikosee wewe niombe msamaha/nikubembeleze mimi, huo ujinga sifanyi maana kama umekosea wewe usipoomba msamaha maana yake ujaligundua kosa lako na kama umeligundua maana yake hutaki kujishusha au hauthamini mahusiano, hii kitu ina sound kama one side relationship..
Wanaume wote wenye uwezo wa kufanya hichi kitu wataiona pepo [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale

Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee

Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako

Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana

Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa


Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake

Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena

Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana

Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi

Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia

Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano

Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Wacha kutreat "boyfriend"/wanaume km homogeneous entity.

Mwanamke akinuna akitegemea nimuongeleshe atasubiri mpaka ukamilifu wa dahari.
Huwa wanapiga kimya mwenyewe mwisho anaanza"nimekumiss,sorry kwa kilichotokea"

Juzi kati kuna dem 1 kajifanya kanuna siku ya 1,2,3...5.Wkend naona txt hii"kama hunitaki bora uniambie kuliko unavyonifanyia".Tukosetle kama kawa mahaba yanaendelea.

Nishasema siwezi umia kiwaki kwa demu,kuz ninao wakutosha huyu akizingua kidogo ujue ndo amejitoa kwenye mstari kama atakaza ajue simtafuti tena,simtamkii demu nimekuacha labda aniache yeye,na hata tukiachana mwisho wa siku ataniletea kazi(papuchi) tu.Nyoka atarudi shimoni tu kuz ndo nyumbani kwake.
 
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale

Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee

Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako

Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana

Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa


Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake

Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena

Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana

Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi

Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia

Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano

Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Anzeni nyie kutubembeleza kwanza,halafu tukiona haijakaa vizuri na sisi tutaanza muwabembeleza...
 
Kuna rafiki yangu mmoja anawaambiaga wanaume wenzie ukiona mmegombana na mkeo akakununia wewe nenda kakaze mifuniko yote ya ndoo ndani kwenu yaani hakikisha umekaza kwa nguvu hadi anashindwa kufungua

Au mfichie vitu vyake vya muhimu na hakikisha umeficha sehemu ambayo hawezi kuviona yaani kwa namna yoyote ile akikosa msaada lazima atakuja tu kukuongelesha kukuomba umsaidie

Sasa alivyosema hivyo angalau nikaona kuwa huyo ni mwanaume kweli hata kama hawezi kukufuata kukubembeleza basi atatafuta tu namna ya wewe kuja kumuongelesha yaani angalau ataonyesha jitihada za kutaka msuluhishe na mwanamke ukiona hivyo unajiongeza

Kuliko yule mwanaume ambaye mkigombana unakuwa ndo umempata nafasi ya kwenda kulala nje ya nyumba yenu miezi na mchepuko na usipomsemesha ndo nitolee hiyo yaani hata yeye haonyeshi jitihada yoyote ya kutaka umuongeleshe aise kuna midume ina gubu halafu mtoto wa kiume kususa au kununa haipendezi jamani looh
😂😂😂😂 Sasa mimi ndio niko hivyo usitegemee ntakusemesha kwamba yaishe yaani nikikusenesha nauliza jambo la msingi ukizingua unakula Mikanda afu nasepà kesho narudi nakusemesha tena ukinyenyua mdomo unakula Mikanda ukithubutu kunirudishia jipange na kujibizana huwa siwezi na huwa niko wazi ukiona umechoka kuishi fungasha usepe au nambie nikusindikize,binafsi huwa silembeshi mwanamke nabembelezaga napotongoza tuu
 
Hahaha dahh!!! Kwamba ana nuna makusudi kila zinapofika tarehe za salary. .Aise makusudi mengine bwana
huo uanaume wa darisalam nishaukataa.


wife akininunia au akanipa story za ajabuajabu huwa nanyamaza tu na sibishani nae. nikimuongelesha Mara tatu hajibu huwa natoka nyumbani naenda kitaa nalala huko, naunga hadi kazini.


nikirudi nyumbani saa9 hakuna msosi na haniongeleshi narudi tena, na kibegi changu cha nguo za kubadili hadi kesho yake tena. kuna kipindi nilifanya hivyo wiki nzima.


akiniongelesha tu ndo namvutia chumbani tunaweka heshima na kumdanganya danganya.


kwa nini nafanya vile?

nilipomuoa 2007 alikuwa kila mwezi ananyamaza kwa siku, nikawaza kulikoni hadi nikahisi ana tatizo la akili... kumbe analenga mshahara utoke nimkabidhi. maringo yalikuwa tar 27, siku ya mshahara tunaenda nae wilayani na phoenix yetu tumebebana.



ulipoisha mwaka nikamzoea nikaanza kuwa mwanaume na uvulana ukaisha. kipindi kile hata shamba sikutaka alime, lakini now anashinda shamba.



narudia, siwezi kubembeleza... hata mwaka unaisha.
 
Hahaha kazi sana aise
ME = Mtafutaji riziki, Mtoa matumizi, Mtongozaji, Mchumbiaji, Muoaji, Kichwa cha familia, Muamuzi mkuu/wa mwisho ktk mapenzi/ndoa.

KE = Mpokeaji matumizi, Mlezi wa watoto, Mshauri, msimamizi wa majukumu kifamilia/nyumbani.

Bado tena KE mkikosea ME tuwabembeleze hata kama ninyi ndiyo vyanzo vya migogoro pa1 na majukumu yote hayo tuliyonayo?

ACHENI UJINGA BASI AYSEEE...[emoji57]

"Don't be so much complicated coz life is not sufficiently longer to handle all of that responsibilities to your Boyfriends or Husbands" [emoji87]
 
Kuna wanawake wenye gubu kari hatakusemesha hadi mwezi uishe hata ufichi chupi yake......hasa wanawake wa mikoani wanamisimamo mikali sanaa hawana smile au jokes akiamuwa ameamuwa tu
Anune lakini apike afua sina shida hata mwaka akauke tuu ila asipofanya hayo achague kuondoka au ale bakola sasa ni yeye unichezee wakati pesa ninazo mimi huwezi
 
cutelove mamy hivi unajua hata wao wanaumia tena zaidi ya sisi???? Tofauti ni kua tu wao hawajionyeshi hawataki kuonekana wako dhaifu ila niamini wanaumia mnooooooo
Tatizo sie wanawake hatuna uvumilivu. Tukigombana baada ya dakika unamtext "kwa hiyo ndo tumegombana" hujakaa sawa kabla hajakujibu unamwandikia " it's over usinitafute na namba yangu futa" ukikaaa tena unamuuliza " hivi unajua nimeumia" Kwa kifupi wanawake tunakosa utulivu na uvumilivu tunakua wasumbufu hadi mwanaume anakereka anaamua kukaa kimya mwisho unajiona mjinga unaanza kujishusha .
cutelove we mkigombana tulia usiwazeeee wala usimtafute atakufata na atakubembeleza. Waishatuzoea sie ndo wakuawaanza ila ukikaa kimya ataona wivu kichwa hakitatulia mwisho atakutafuta na kujiongelesha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa mimi ndio niko hivyo usitegemee ntakusemesha kwamba yaishe yaani nikikusenesha nauliza jambo la msingi ukizingua unakula Mikanda afu nasepà kesho narudi nakusemesha tena ukinyenyua mdomo unakula Mikanda ukithubutu kunirudishia jipange na kujibizana huwa siwezi na huwa niko wazi ukiona umechoka kuishi fungasha usepe au nambie nikusindikize,binafsi huwa silembeshi mwanamke nabembelezaga napotongoza tuu
Nilichogundua ni kwamba wanaume hii akili ya kwamba "wanawake wapo tu" ndo inawapa kiburi cha kuachana na wanawake zenu muda wowote mnaojisikia kwa mawazo ya kwamba "nitapata mwingine tu" yaani mfano mkeo anakwambia kiustaarabu tu kuwa rekebisha tabia yako fulani siyo nzuri

Wewe badala ya kurekebisha hiyo tabia unamwambia akuvumilie tu kama hataki aondoke utatafuta atakayeweza kuvumilia kwa sababu una uhakika utapata tu yaani nashindwa kuelewa mwanaume anahangaika kabisa kutafuta mwanamke atakayeweza kuvumilia maovu yake wakati yeye mwenyewe tu hawezi kuvumilia mapungufu ya mwanamke wake yaani wanaume ni viumbe wabinafsi sana
 
Juzi kati wangu tulipapurana kidogo kwa kuluniletea kazi yake ya shule nimsaidie na ili kuwa anaipeleka baada ya mda mchache mbele nikamuuliza kwanini ukachelewa kuleta sijui mara hivi hivi sasa nilikuwa ninaongea kwa ukali na yeye ndiye aliyesababisha niongee kwa ukali akanambia basi naenda zangu sitakitena. Nikamwambia haya wewe nenda zako nikasema kimoyomoyo kwamba siendi kwao tena maana ninakawaida ya kuenda.


Ebwanaaaaeeee usiku napokea SMS ya dadaa yake ya kuwa fulani yupo hospital anumwa.

Nikampigia simu hajiwezi hata chembe. Leo niya nne anaumwa kwahiyo namuuguza kila siku naenda kwao.


Sijui kilichomsibu nini.
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale

Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee

Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako

Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana

Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa


Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake

Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena

Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana

Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi

Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia

Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano

Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
 
Nilichogundua ni kwamba wanaume hii akili ya kwamba "wanawake wapo tu" ndo inawapa kiburi cha kuachana na wanawake zenu muda wowote mnaojisikia kwa mawazo ya kwamba "nitapata mwingine tu" yaani mfano mkeo anakwambia kiustaarabu tu kuwa rekebisha tabia yako fulani siyo nzuri

Wewe badala ya kurekebisha hiyo tabia unamwambia akuvumilie tu kama hataki aondoke utatafuta atakayeweza kuvumilia kwa sababu una uhakika utapata tu yaani nashindwa kuelewa mwanaume anahangaika kabisa kutafuta mwanamke atakayeweza kuvumilia maovu yake wakati yeye mwenyewe tu hawezi kuvumilia mapungufu ya mwanamke wake yaani wanaume ni viumbe wabinafsi sana
Mwanamke ni kama kijana anayebalehe kiburi,majaribu ili tu unipime afu mdomo na uzembe,hayo uliyoandika hapo juu ni yako sio ya wanaume,simply tu wanaume tunataka utii tuu
 
Ww mwanamke kwangu nuna tu hata miaka 200 siwezi bembeleza aisee,hata mtoto siwezi itakua mkubwa,ukizingua nasepa tu,nacheki manzi mwingine.
Ke nyie mnazingua ndo maana upendo toka kwangu ulishaisha,sana sana natumia kanuni ya 1 katika mahusiano kifungu cha 3 a,ambayo inasema (fff) yaani find,**** and forget.
😬😬😬😬
 
Kumwambia mtu neno ni samehe huwa lina leta kaugumu flan hv hasa boy namwambia girl ani samehe kwa kipi hasa labda me mwenyewe tu niwe nime kosa kweli hapo nita jishusha
 
Back
Top Bottom