Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Mimi siku zote nasemaga wanaume kama ninyi dawa yenu ni ndogo sana hao wake zenu hawajawajulia tu pa kuwakamatia ukipata mwanamke unamsaliti na unampiga halafu anakaa kimya usimchukulie poa mpende na mheshimu sana maana siyo kila mwanamke yuko hivyo nakwambia

Wewe ongea tu hayo maneno kwa vile unapata wanawake wanaokubali kuwa mafala ilitakiwa upate mwanamke chakaramu mmoja aliyevurugwa akufanyie kitu ambacho haungemsahau hadi unakufa hauwezi kuelewa kwa sababu haujawahi kupata wanawake wa hivyo waulize wanaume wenzio waliojikuta vidume wababe kama wewe na walinyooshwa na wanawake wakusimulie narudia tena usishindane na ulipotoka
Dawa kubwa imeshindwa hiyo ndogo yako itawezea wapi labda
 
Ndo hivyo sasa siwezi kucheka cheka na mwanamke mimi ni mwanaume halisi wa kiafrika ngoja hao wanaume waendelee kuwabembeleza
Eti mwanaume halisi wa kiafrika kwani uanaume halisi wa kiafrika una tuzo? Hebu tuambie ukishakuwa mwanaume halisi wa kiafrika kuna tuzo gani unapata ili na wanaume wengine wawanie hiyo tuzo? Eti mtu anajivunia kabisa kuwa muafrika kwani who is muafrika? Stupid.
 
Nilimkaushia mtu wiki tatu,,

Siku ya siku sina hili wala lile nashangaa mtu night ametimba getto,,, wote tulicheka kwanza maaana kila mtu alimmiss mwenzie,, kwa hasira nika muuliza unapenda kula nn leo? Ooh nimemiss chips kuku,, ok twende sasa [emoji1]

Njian nikama watu tuliokuwa hatukuwa na bifu yoyote,,

Baada out kali mzee baba usiku wakati wa kulala nikaja kama nimesusia naniliu vile,, ila sasa kule chini pakatuna sanaa, alivojigeuza akakuta kitu kimenyanyuka ,,

Basi siendelei na story

[emoji1]
 
Hadi
Hadithi za kujifariji tu hizi,kwani nazoa zoa au nawafanyia vetting kwanza mimi mwanamke akiwa mjuaji hawezi kuwa demu sembuse kuoa
Mafala hao ndio wanaishi vizuri ila nyie kambale ndio ma left overs mmebaki kuwa malaya wa mjini na kubwabwaja tu mitandaoni kujifariji maana hamna quality ya kuolewa,mke amemtawala mume unaanzaje kwa mfano kwangu eti
Hao mafala ndo wanaishi vizuri? Hivi huyo mkeo naye anaweza akaingia kwenye list ya wanawake wanaoishi vizuri? Kuliko kuwa na mume kama wewe ni bora hata nibaki single maisha yangu yote yaani mimi nikubali kusalitiwa na kupigwa kwenye ndoa eti ili tu nionekane na mimi nimeolewa nina mume? No please.

Wewe ni mume au hasara tu? Wanawake wanaotamani kuwa na wanaume kama wewe siku hizi wamebaki wachache sana yaani unamuonea mkeo eti kisa unamhudumia? Kwani kumhudumia unamfanyia favour? Si ni jukumu lako? Mbona kuna wanaume wanatuhudumia na bado hawatuonei? Nigga be humble, sit down.
 
Hahahaha wazungu wanaofirana? Kwani watu wa jamii nyingine hawafirani? Au kwa vile wazungu wanajionyesha hadharani ila watu wengine wanafanya sirini? Kufirana ni kufirana tu haijalishi inafanywa hadharani au kwa siri

Na kwenye dunia ya sasa hakuna nchi ambayo haina wanaume mashoga hata moja na kwa taarifa yako tu ushoga haukuanzia kwa wazungu msiwasingizie ila ndo hivyo waafrika tutabaki watumwa kwa wazungu hadi mwisho wa dunia

Kwa mitazamo mibovu kama hii inadhihirisha ni jinsi gani watu weusi hatuwezi kujitawala na mimi nasema wazungu waendelee kututawala na kutubagua hivyo hivyo hadi akili zetu zikae sawa mxiieeww tamaduni gani zinazomfundisha mwanaume kumuonea mwanamke na mwanamke kumuogopa mwanaume

Na bora hata hizo tamaduni zinavyokufa na wanaume wanaanza kujielewa wewe waite mashoga waite wasuka nywele utajua mwenyewr lakini ndo hivyo siku hizi kuna wanaume marijali na wanajielewa wanajua thamani ya mwanamke na wewe endelea na mitazamo yako hiyo hiyo maana anayeteseka ni mkeo siyo sisi wengine ambao hautuongezei wala hautupunguzii chochote hahahaha nacheka kwa dharau
Wewe na wenzako wa dizaini hii ndio mtatawaliwa na wazungu na tamaduni zao,mtakuwa mnafirwa ili kuweka mizania sawa mnayoitafuta Afrika hakujawahi kuwa na huu upuuzi umekuja miaka hii na wapokeaji wake ndio kama wewe na hadithi zenu za haki sawa na women first matokeo yake mnazaa mashoga na mnaona sawa tuu,kwangu huo upuuzi marufuku na kwa taarifa yako huwezi kuwa mke wangu unavaa kisuruali vya kubana afu unatoka kwangu never
Hao wanaume wenu wanaojielewa wacha waendelee kukuelewa ila mimi ni zero tolerance kwenye nonsense things
 
Aliondoka home asubuhi kwenda kazini kwake na hakurudi siku hiyo akarudi home kwake. Usiku wake alinikuta nachat huku natabasam akapora simu aone nachat na nani....nikamwambia sio heshima nikampokonya kwa nguvu. Siku hiyo hakunitafuta kutwa....next day morning saa 12 akapiga simu sikupokea kwanza. Akapiga piga tena, swali la kwanza uko wapi? Nimelala home (it was saturday) nikajibu....mbona hukupokea first time....umelala na nani?

Nikamwambia mama tusalimiane kwanza. Mnasusa kumbe sitaki nataka.
 
Dawa kubwa imeshindwa hiyo ndogo yako itawezea wapi labda
Kuna muda natamanigi ningepataga wanaume kama ninyi niwe nao kwenye mahusiano hata kwa miezi kadhaa tu nipate japo nafasi ya kuwashikisha adabu sema ndo nashukuru sipatagi wanaume wa ajabu kama wewe eeww na nilivyo na dharau kuna wanaume kwangu nawaonaga kama takataka tu na hapo unaongea hivyo ukute hata siyo mtu wa maana upo upo tu na unapata wanawake wa aina yako ndo maana
 
Hao mafala ndo wanaishi vizuri? Hivi huyo mkeo naye anaweza akaingia kwenye list ya wanawake wanaoishi vizuri? Kuliko kuwa na mume kama wewe ni bora hata nibaki single maisha yangu yote yaani mimi nikubali kusalitiwa na kupigwa kwenye ndoa eti ili tu nionekane na mimi nimeolewa nina mume? No please.

Wewe ni mume au hasara tu? Wanawake wanaotamani kuwa na wanaume kama wewe siku hizi wamebaki wachache sana yaani unamuonea mkeo eti kisa unamhudumia? Kwani kumhudumia unamfanyia favour? Si ni jukumu lako? Mbona kuna wanaume wanatuhudumia na bado hawatuonei? Nigga be humble, sit down.
Hao michepuko wanaowahudumia wawadinye sio dili ndo maana mnajificha
Kwa taarifa yako ukiwa jeuri utachezea kichapo ukiwa tiifu utakula mema ya nchi,kuhudumia ni jukumu langu ikiwa tu mtu katomiza wajibu wake na utii wa sheria ya ndoa bila shuruti ukiwa kwa ndoa hutii utashurutishwa kama nilivyofanya mimi ukikuta huwezi unajitoa kuishi kwa umalaya kama wewe mtetezi wao
 
Nilimkaushia mtu wiki tatu,,

Siku ya siku sina hili wala lile nashangaa mtu night ametimba getto,,, wote tulicheka kwanza maaana kila mtu alimmiss mwenzie,, kwa hasira nika muuliza unapenda kula nn leo? Ooh nimemiss chips kuku,, ok twende sasa [emoji1]

Njian nikama watu tuliokuwa hatukuwa na bifu yoyote,,

Baada out kali mzee baba usiku wakati wa kulala nikaja kama nimesusia naniliu vile,, ila sasa kule chini pakatuna sanaa, alivojigeuza akakuta kitu kimenyanyuka ,,

Basi siendelei na story

[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ile we jamaa story zako bwana hivi wewe si ndo ulisemaga kuna siku mpenzi wako alinyoa kipara ukawa unamcheka kichwa chake kilivyokaa yaani sipati picha unavyoishigi na hao wapenzi wako maana inaonekana mnakuwaga na mahusiano yenye vituko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eti mwanaume halisi wa kiafrika kwani uanaume halisi wa kiafrika una tuzo? Hebu tuambie ukishakuwa mwanaume halisi wa kiafrika kuna tuzo gani unapata ili na wanaume wengine wawanie hiyo tuzo? Eti mtu anajivunia kabisa kuwa muafrika kwani who is muafrika? Stupid.
Tuzo nayopata mimi na jamii ni kutambulika kama kiboko ya wanawake jeuri like you,utasikia yule jamaa ni noma only that sio mnavichezea vivulana vyenu vinalia lia tu,kuna kajamaa kengine hapa home eti mkewake analeta wanaume ndani kanakimbia geto mara mwingine kimwanamke kinasepa kwao eti anaenda kufuata sasa mm nilishamwambia uje uige hao uone matokeo mm sio fala hata siku moja sasa hao ndo wanaume mnawataka muwaendeshe
Kunae dingi mmja pia anafagia uwanja daily mke yupo kisa ni mjumbe wa nyumba kumi ila nae ananielewa
 
Wewe na wenzako wa dizaini hii ndio mtatawaliwa na wazungu na tamaduni zao,mtakuwa mnafirwa ili kuweka mizania sawa mnayoitafuta Afrika hakujawahi kuwa na huu upuuzi umekuja miaka hii na wapokeaji wake ndio kama wewe na hadithi zenu za haki sawa na women first matokeo yake mnazaa mashoga na mnaona sawa tuu,kwangu huo upuuzi marufuku na kwa taarifa yako huwezi kuwa mke wangu unavaa kisuruali vya kubana afu unatoka kwangu never
Hao wanaume wenu wanaojielewa wacha waendelee kukuelewa ila mimi ni zero tolerance kwenye nonsense things
Sasa mbona unaongea vitu ambavyo havihusiani? Masualaya ya haki sawa na kuvaa suruali yamekujaje hapa? Kwani nani amesema anataka kuweka usawa kati ya mwanaume na mwanamke? Hebu toa ufafanuzi wako nini maana ya haki sawa.
 
Hao michepuko wanaowahudumia wawadinye sio dili ndo maana mnajificha
Kwa taarifa yako ukiwa jeuri utachezea kichapo ukiwa tiifu utakula mema ya nchi,kuhudumia ni jukumu langu ikiwa tu mtu katomiza wajibu wake na utii wa sheria ya ndoa bila shuruti ukiwa kwa ndoa hutii utashurutishwa kama nilivyofanya mimi ukikuta huwezi unajitoa kuishi kwa umalaya kama wewe mtetezi wao
Hebu tulia kwanza halafu mbona unaongea kama unanijua sana? Maana tangu tumeanza huu mjadala umeshaniita malaya sijui nafirwa nigga what the hell? Do you know me? Sasa kati ya mimi mwenye mwanaume mmoja na wewe mwenye wanawake wengi nani malaya?

Please don't try me, don't push me to my limits sikujui hunijui hatujuani maana kama ni matusi tu hata mimi nayaweza hebu nitolee hasira zako hapa wewe mwenyewe umesema hauwezi kumtreat mwanamke vizuri hata kama ni mtiifu usijifanye kubadilisha mada yaani wewe kwako mwanamke si kitu haijalishi ni mtiifu au mjeuri ndicho ulichomaanisha na hivyo ndivyo ulivyo
 
Kuna rafiki yangu mmoja anawaambiaga wanaume wenzie ukiona mmegombana na mkeo akakununia wewe nenda kakaze mifuniko yote ya ndoo ndani kwenu yaani hakikisha umekaza kwa nguvu hadi anashindwa kufungua

Au mfichie vitu vyake vya muhimu na hakikisha umeficha sehemu ambayo hawezi kuviona yaani kwa namna yoyote ile akikosa msaada lazima atakuja tu kukuongelesha kukuomba umsaidie

Nimekuelewa sana sana san
 
Hebu tulia kwanza halafu mbona unaongea kama unanijua sana? Maana tangu tumeanza huu mjadala umeshaniita malaya sijui nafirwa nigga what the hell? Do you know me? Sasa kati ya mimi mwenye mwanaume mmoja na wewe mwenye wanawake wengi nani malaya?

Please don't try me, don't push me to my limits sikujui hunijui hatujuani maana kama ni matusi tu hata mimi nayaweza hebu nitolee hasira zako hapa wewe mwenyewe umesema hauwezi kumtreat mwanamke vizuri hata kama ni mtiifu usijifanye kubadilisha mada yaani wewe kwako mwanamke si kitu haijalishi ni mtiifu au mjeuri ndicho ulichomaanisha na hivyo ndivyo ulivyo
Hasira za nn,mawazo yako ndio yanakutambulisha na sifa nilizotaja hapo juu,wewe si ndio unawaka as if nimekudunda sasa ndo vumilia unalia lia nn c umesema wewe ni noma sana ndo nakugusa usikopenda chakula ya mtaani wewe
Sifa ya mwanaume ni multiple women
 
Yes. Ni vizuri saana dadangu. Hasa kama hupendi maudhi yaendelee. Jishushe tu kama inawezekana.
That is the beggining of becoming a doormat in marriage/rlship

Wote Tujifunze namna ya kusema samahani na kurekebisha tunapokosea
 
Sasa mbona unaongea vitu ambavyo havihusiani? Masualaya ya haki sawa na kuvaa suruali yamekujaje hapa? Kwani nani amesema anataka kuweka usawa kati ya mwanaume na mwanamke? Hebu toa ufafanuzi wako nini maana ya haki sawa.
Yamekuja kwa kutaka uhuru kudekezwa na kubembelezwa kinyume na mila za kiafrika unazoziita zimepitwa na wakati
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ile we jamaa story zako bwana hivi wewe si ndo ulisemaga kuna siku mpenzi wako alinyoa kipara ukawa unamcheka kichwa chake kilivyokaa yaani sipati picha unavyoishigi na hao wapenzi wako maana inaonekana mnakuwaga na mahusiano yenye vituko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio mimi umefananisha [emoji1]
 
Kimtokacho mtu ndicho kimjazacho moyo,nachoandika ndio tabia yangu halikadhalika unachoandika wewe kinareflect hisia hulka na tabia yako kumjua mtu ni kwa njia ya unachotamka
Kijana halisi wa kiafrika hawezi kuwa shoga ila nyie mnaofuata tamaduni za wazungu lazima mfirwe
Umesema hauamini biblia halafu unanukuu maneno kutoka kwenye biblia hauwezi kukwepa maandiko mbuzi wa hitima wewe Mungu hajaruhusu umalaya fala wewe hakuna cha tamaduni wala nini
 
Hasira za nn,mawazo yako ndio yanakutambulisha na sifa nilizotaja hapo juu,wewe si ndio unawaka as if nimekudunda sasa ndo vumilia unalia lia nn c umesema wewe ni noma sana ndo nakugusa usikopenda chakula ya mtaani wewe
Sifa ya mwanaume ni multiple women
Chakula ya mtaani mimi au wewe unayetembeza rungu kwa wanawake tofauti? Eti sifa ya mwanaume ni multiple women malaya wewe toa visingizio vyako hapa kwahiyo kwa akili yako unadhani wewe unaweza kunikasirisha mimi? Khaa mimi nakujibu kutokana na wewe ulivyokuja usitegemee nikujibu kistaarabu wakati wewe umeleta ushenzi punga wewe
 
Back
Top Bottom