heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Nyie mmeshakua wahengahuo uanaume wa darisalam nishaukataa.
wife akininunia au akanipa story za ajabuajabu huwa nanyamaza tu na sibishani nae. nikimuongelesha Mara tatu hajibu huwa natoka nyumbani naenda kitaa nalala huko, naunga hadi kazini.
nikirudi nyumbani saa9 hakuna msosi na haniongeleshi narudi tena, na kibegi changu cha nguo za kubadili hadi kesho yake tena. kuna kipindi nilifanya hivyo wiki nzima.
akiniongelesha tu ndo namvutia chumbani tunaweka heshima na kumdanganya danganya.
kwa nini nafanya vile?
nilipomuoa 2007 alikuwa kila mwezi ananyamaza kwa siku, nikawaza kulikoni hadi nikahisi ana tatizo la akili... kumbe analenga mshahara utoke nimkabidhi. maringo yalikuwa tar 27, siku ya mshahara tunaenda nae wilayani na phoenix yetu tumebebana.
ulipoisha mwaka nikamzoea nikaanza kuwa mwanaume na uvulana ukaisha. kipindi kile hata shamba sikutaka alime, lakini now anashinda shamba.
narudia, siwezi kubembeleza... hata mwaka unaisha.
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Ndio kuna tatizo, tena kubwa tu Agatha.Ukisema samahani kuna tatizo?
SduuuNdio kuna tatizo, tena kubwa tu Agatha.
huo uanaume wa darisalam nishaukataa.
wife akininunia au akanipa story za ajabuajabu huwa nanyamaza tu na sibishani nae. nikimuongelesha Mara tatu hajibu huwa natoka nyumbani naenda kitaa nalala huko, naunga hadi kazini.
nikirudi nyumbani saa9 hakuna msosi na haniongeleshi narudi tena, na kibegi changu cha nguo za kubadili hadi kesho yake tena. kuna kipindi nilifanya hivyo wiki nzima.
akiniongelesha tu ndo namvutia chumbani tunaweka heshima na kumdanganya danganya.
kwa nini nafanya vile?
nilipomuoa 2007 alikuwa kila mwezi ananyamaza kwa siku, nikawaza kulikoni hadi nikahisi ana tatizo la akili... kumbe analenga mshahara utoke nimkabidhi. maringo yalikuwa tar 27, siku ya mshahara tunaenda nae wilayani na phoenix yetu tumebebana.
ulipoisha mwaka nikamzoea nikaanza kuwa mwanaume na uvulana ukaisha. kipindi kile hata shamba sikutaka alime, lakini now anashinda shamba.
narudia, siwezi kubembeleza... hata mwaka unaisha.
Mi nina msichana kwa ukweli nilimkosea mimi yeap kuna jambo nilifanya nikamficha akaja kugundua mwenyewe kwa kuambiwa na rafiki yangu, walai nimemuomba radhi +msamaha +bembeleza kwa miezi 3 mikavu akaja akanisamehe tukaendelea haa baada ya muda akaja akalianzisha tena lile swala kama volcano ,nimemuomba msamaha huu mwezi wa sita sasa mkavu haelewi anaclaim niachane nae ibaki salam, bado sijatoa uamuzi namuomba msamaha haelewi
Mwanaume haombi samahani kwa kusema "NAOMBA NISAMEHE"Sduuu
Duh! Kashakuchoka huyo alikuwa anatafuta sababu muachane na alipoikosa ameamua kufukua kaburi makusudi.Mi nina msichana kwa ukweli nilimkosea mimi yeap kuna jambo nilifanya nikamficha akaja kugundua mwenyewe kwa kuambiwa na rafiki yangu, walai nimemuomba radhi +msamaha +bembeleza kwa miezi 3 mikavu akaja akanisamehe tukaendelea haa baada ya muda akaja akalianzisha tena lile swala kama volcano ,nimemuomba msamaha huu mwezi wa sita sasa mkavu haelewi anaclaim niachane nae ibaki salam, bado sijatoa uamuzi namuomba msamaha haelewi
Hommie hii tabia ya kuniita kwenye mambo ya watoto imeanza lini? Hivi enzi zetu unagombana na Sky Eclat afu eti uanze kumtumia sms za kuomba msamaha hata kama yeye ndo kakukosea...... zile simu mpaka uende RTC ukazungurushe zilikuwa zina option ya kutuma sms??
For sure mate wangu 😆 i don't keep grudges.Umekuwa sasa
ila wewe unataka akuambie naomba unisamehe bhagoshaMwanamke haombwi msamaha aiseee.
Lakini pia mwanamke hanuniwi kabisa..
Mimi wife nikigombana nae alafu baadae nokajua mimi ndo nimekosea hapo natafakari niingie na gia gani.
Naweza kumpigia simu nikaomgea nae mambo mengine kabisa huku nikiwa kama nimepotezea kabisaaa.
Bahati nzuri mimi nina kipaji cha kuchekrsha kidogo,sasa nikimchekrsha nara mbili tatu akifurahi utakuta anasema "lakini baby hujafanya vizuri kile kitendo sio sawa"
Hapo mimi naanza kujitetea alafu mwisho namalizia neno NISAMEHE sisemi NAOMBA NISAMEHE.
Kusema NAOMBA NISAMEHE huo sio uanaume,yani mke wangu alafu nimuombe anisamehe.?
Kunisamehe kwake ni lazima nikikosea,hana hiyari lazima anisamehe kulaleki.
Unatakiwa kusema NISAMEHE hiyo atake asitake lazima asamehe,eti naomba nisamehe ohh
pole mkuu Colin morgan mistakes do happen for us to learnNiliwahi kumpoteza ninae mpenda sna kwa style hio
Tuliachana kwa maumivu makali mno hadi kila mmoja akamchukia mwenzake ni miaka 5 sasa ila bado maumiv yamesalia
Naamin wote tunajutia kwani tulipendana sna tena sana kutokana na mazingira tulijikuta tunashindwa kujishusha na mioyo yetu ilijaa chuki kubwa sna siku hadi siku miongoni mwetu
Natamani hata sku moja nipate nafasi ya kumwambia i am sory i was wrong but its too late
Sijui hata anaishi dunia gani tena , we acted as we are dead and reborn in another world
msichokijua wanamme ni kwamba wadada pia ni waamini wa wakaka wengi ni vile tu hawaoni kama ni sifa kujitangaza kama wanamme wanavyofanya,so kama unajiaminisha eti hubembelezi kwa kuwa una mademu wengi jua kabisa na mwenzio habembelezi kwa sababu anao wengi na moyoni mwake wewe ni subsidiaryTatizo sisi tuna mademu wengi ukikausha natafuta demu wangu mwingine najipigia ngozi maisha yanaenda
na we pia hupendi kubembelezwa mkuu,au we hubembelezi ila we ubembelezwe?eti nini?kubembeleza mwanamke dah siwezi akinuna napotezea atajiju