Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale

Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee

Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako

Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana

Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa


Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake

Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena

Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana

Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi

Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia

Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano

Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Hii tunaiita Psychological punishments.

Kuiepuka hii inakubidi uwe mwanamke mnyenyekevu, ukishagundua umekosea omba msamaha hata kama hujakosea wewe.

Mwanaume siku zote anapenda kunyenyekewa kama mfalme ndani ya nyumba.
Na hapo ukichelewa unawezakuta anapunguza maumivu yake juu ya kifua cha mwanamke mwingine tena kama hivyo hamjaoana.

Tatizo la ke wengi wameingiwa na mfumo wa usawa na kuona unyenyekevu ni kujishusha thamani.

Inaonekana hupendi mifarakano inayodumu. Ila uwe unawahi kuomba msamaha. Long distance relationship mkikorofishana ni vyepesi kusambaratika, bora hata mngekuwa mnaishi pamoja anaingia na kutoka unamuona.
 
Huo uzuzu ndio si ukubari kabisa, kama nikikosea mimi bado siombi msamaha itawezekanaje akikosea yeye ndio nijiweke kimbelembele kuomba msamaha. Bahati mbaya hata akikosea yeye nachukulia poa tu kaomba au hajaomba msamaha. Kwa kifupi sina kisasi ila sina roho ya kuomba msamaa pia.

Kwa uzoefu mambo yetu huwa yanarudi tu kwenye mstari na tunaishi.
 
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Na nynyi pia mnapaswa kuomba msamaha sio kusubili tu kubembelezwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umeniona vile. Naweza Nuna hata mwezi. Niliachana na mrembo mmoja hivi hivi. Ana kakiburi fulani hivi. Nikakausha na yeye akakusha. Mara wiki mara mwezi.
Khaaa jmn[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Part A:
Wanaume wanaonuna au kukaa kimya mda mrefu ni wale walikuwa wanatafta sababu tu wasepe kushoto.
Au wana vipepo vya kisirani, maana huwezi kumpenda mtu halafu ukamkasirikia mda mrefu (sio mazoea)

Part B:
Wanawake wanapenda kubembelezwa sana ndio maana wanaumia wakipigiwa kimyaa. Hilo linawapa kiburi cha kufanya makosa sometimes ili abembelezwe maana hii kasumba yao wanaifurahia baadhi (ili mradi aone mwanaume anajitahidi kumbembeleza)

ONYO: baadhi ya wanaume wamestukia ndio maana wanapiga kimyaa na kuamua kuwarusha roho mtandaoni ili akili zikae sawa.

NB: kila mtu afanye jukumu lake kwa nafasi yake ili kuepusha mambo yasiyo lazima kutokea kama vile vibuti n.k
 
Umeanza vizuri ila ulivyomalizia woga ndo umeharibu!

Kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha mahusiano yanakuwa ya amani,furaha na upendo!

Halafu kila mmoja anamjua mtuwe aloko naye kwenye mahusiano, kama wako ni pasua kichwa ulimpenda mwenyewe! Hao wa dot com wapo wapi eti!

Na ujue kuna wanawake na wasichana, na kuna wanawake wenye akili za kisichana sasa kazi kwako!

Hoja zako zipo vema..

La msingi hapa mara nyingi ugomvi hua hauepukikii, lamsingi kama cc2 nikuweka mbinu/namna ya kusolve disputes zetu pale zitokeapo

Mfano mm ukiniletea bia mbili ukasema mume nisamehe shushia hizi mbili ukiwa natabasamu, ugomvi wote unayeyuka..and vice verse
 
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale

Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee

Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako

Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana

Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa


Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake

Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena

Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana

Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi

Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia

Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano

Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Ni mwendo wa kutesa kwa zamu tu,pindi unapomtongoza Demu Mara asijibu SMS, Mara anakata Simu Mara hapokei kabisa sasa kwanini tusilipize!?
 
Ni mwendo wa kutesa kwa zamu tu,pindi unapomtongoza Demu Mara asijibu SMS, Mara anakata Simu Mara hapokei kabisa sasa kwanini tusilipize!?
Mmmm,sijakubaliana,kipindi hicho huwa ni kutafuta usirias wako na akili kukufikiria sasa unapofanya kama kulipiza sio vizuri
 
Back
Top Bottom