heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Forreal mkuu maan ilikua ishu ishaisha kabisa nami nikajicomit nafsin mwangu kwamba sitamkosea japo mungu namkosea ila yeye nilisema hayastahili ninayoyafanya nikaacha na kucheat nikafuta kabisa ktk ratiba zangu haah alivyokuja nitibua tena ndo maweeDuh! Kashakuchoka huyo alikuwa anatafuta sababu muachane na alipoikosa ameamua kufukua kaburi makusudi.
bora iwe hivyo maana mahusiano ya leo akikosea halafu uanze kumbembeleza yeye anakuona fala kesho anafanya tena na ka dharau moyoni anasema '' ataniitafuta yule anajifanya tuu sasa hivi''Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Kwa hyo wewe ukiomba msamaha manake una maanosha akitaka atakusamehe na asipotaka potelea mbali au unaomba msamaha kutaka usamehewe mukuu?ila wewe unataka akuambie naomba unisamehe bhagosha
kwani tofauti iko wapi jamani?
wote si mna mioyo ya nyama jamani au?
afu kuna utofauti wa maumivu ya kihisa ambayo mwanaume au mwanamke anaweza kupata?
afu ni kwa logic gani unatumia kusema mwanamke kukusamehe ni lazima?
msamaha huwa unalzimishwa?
Mwisho wake ulikuwaje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umeniona vile. Naweza Nuna hata mwezi. Niliachana na mrembo mmoja hivi hivi. Ana kakiburi fulani hivi. Nikakausha na yeye akakusha. Mara wiki mara mwezi.
Ila kwa kawaida tunategemea mwanaume ndo ambembeleze mwanamke baada ya ugomvi,na sio kujishusha
Wacha kutreat "boyfriend"/wanaume km homogeneous entity.Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Anzeni nyie kutubembeleza kwanza,halafu tukiona haijakaa vizuri na sisi tutaanza muwabembeleza...Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
😂😂😂😂 Sasa mimi ndio niko hivyo usitegemee ntakusemesha kwamba yaishe yaani nikikusenesha nauliza jambo la msingi ukizingua unakula Mikanda afu nasepà kesho narudi nakusemesha tena ukinyenyua mdomo unakula Mikanda ukithubutu kunirudishia jipange na kujibizana huwa siwezi na huwa niko wazi ukiona umechoka kuishi fungasha usepe au nambie nikusindikize,binafsi huwa silembeshi mwanamke nabembelezaga napotongoza tuuKuna rafiki yangu mmoja anawaambiaga wanaume wenzie ukiona mmegombana na mkeo akakununia wewe nenda kakaze mifuniko yote ya ndoo ndani kwenu yaani hakikisha umekaza kwa nguvu hadi anashindwa kufungua
Au mfichie vitu vyake vya muhimu na hakikisha umeficha sehemu ambayo hawezi kuviona yaani kwa namna yoyote ile akikosa msaada lazima atakuja tu kukuongelesha kukuomba umsaidie
Sasa alivyosema hivyo angalau nikaona kuwa huyo ni mwanaume kweli hata kama hawezi kukufuata kukubembeleza basi atatafuta tu namna ya wewe kuja kumuongelesha yaani angalau ataonyesha jitihada za kutaka msuluhishe na mwanamke ukiona hivyo unajiongeza
Kuliko yule mwanaume ambaye mkigombana unakuwa ndo umempata nafasi ya kwenda kulala nje ya nyumba yenu miezi na mchepuko na usipomsemesha ndo nitolee hiyo yaani hata yeye haonyeshi jitihada yoyote ya kutaka umuongeleshe aise kuna midume ina gubu halafu mtoto wa kiume kususa au kununa haipendezi jamani looh
huo uanaume wa darisalam nishaukataa.
wife akininunia au akanipa story za ajabuajabu huwa nanyamaza tu na sibishani nae. nikimuongelesha Mara tatu hajibu huwa natoka nyumbani naenda kitaa nalala huko, naunga hadi kazini.
nikirudi nyumbani saa9 hakuna msosi na haniongeleshi narudi tena, na kibegi changu cha nguo za kubadili hadi kesho yake tena. kuna kipindi nilifanya hivyo wiki nzima.
akiniongelesha tu ndo namvutia chumbani tunaweka heshima na kumdanganya danganya.
kwa nini nafanya vile?
nilipomuoa 2007 alikuwa kila mwezi ananyamaza kwa siku, nikawaza kulikoni hadi nikahisi ana tatizo la akili... kumbe analenga mshahara utoke nimkabidhi. maringo yalikuwa tar 27, siku ya mshahara tunaenda nae wilayani na phoenix yetu tumebebana.
ulipoisha mwaka nikamzoea nikaanza kuwa mwanaume na uvulana ukaisha. kipindi kile hata shamba sikutaka alime, lakini now anashinda shamba.
narudia, siwezi kubembeleza... hata mwaka unaisha.
ME = Mtafutaji riziki, Mtoa matumizi, Mtongozaji, Mchumbiaji, Muoaji, Kichwa cha familia, Muamuzi mkuu/wa mwisho ktk mapenzi/ndoa.
KE = Mpokeaji matumizi, Mlezi wa watoto, Mshauri, msimamizi wa majukumu kifamilia/nyumbani.
Bado tena KE mkikosea ME tuwabembeleze hata kama ninyi ndiyo vyanzo vya migogoro pa1 na majukumu yote hayo tuliyonayo?
ACHENI UJINGA BASI AYSEEE...[emoji57]
"Don't be so much complicated coz life is not sufficiently longer to handle all of that responsibilities to your Boyfriends or Husbands" [emoji87]
Anune lakini apike afua sina shida hata mwaka akauke tuu ila asipofanya hayo achague kuondoka au ale bakola sasa ni yeye unichezee wakati pesa ninazo mimi huweziKuna wanawake wenye gubu kari hatakusemesha hadi mwezi uishe hata ufichi chupi yake......hasa wanawake wa mikoani wanamisimamo mikali sanaa hawana smile au jokes akiamuwa ameamuwa tu
Nilichogundua ni kwamba wanaume hii akili ya kwamba "wanawake wapo tu" ndo inawapa kiburi cha kuachana na wanawake zenu muda wowote mnaojisikia kwa mawazo ya kwamba "nitapata mwingine tu" yaani mfano mkeo anakwambia kiustaarabu tu kuwa rekebisha tabia yako fulani siyo nzuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa mimi ndio niko hivyo usitegemee ntakusemesha kwamba yaishe yaani nikikusenesha nauliza jambo la msingi ukizingua unakula Mikanda afu nasepà kesho narudi nakusemesha tena ukinyenyua mdomo unakula Mikanda ukithubutu kunirudishia jipange na kujibizana huwa siwezi na huwa niko wazi ukiona umechoka kuishi fungasha usepe au nambie nikusindikize,binafsi huwa silembeshi mwanamke nabembelezaga napotongoza tuu
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Mwanamke ni kama kijana anayebalehe kiburi,majaribu ili tu unipime afu mdomo na uzembe,hayo uliyoandika hapo juu ni yako sio ya wanaume,simply tu wanaume tunataka utii tuuNilichogundua ni kwamba wanaume hii akili ya kwamba "wanawake wapo tu" ndo inawapa kiburi cha kuachana na wanawake zenu muda wowote mnaojisikia kwa mawazo ya kwamba "nitapata mwingine tu" yaani mfano mkeo anakwambia kiustaarabu tu kuwa rekebisha tabia yako fulani siyo nzuri
Wewe badala ya kurekebisha hiyo tabia unamwambia akuvumilie tu kama hataki aondoke utatafuta atakayeweza kuvumilia kwa sababu una uhakika utapata tu yaani nashindwa kuelewa mwanaume anahangaika kabisa kutafuta mwanamke atakayeweza kuvumilia maovu yake wakati yeye mwenyewe tu hawezi kuvumilia mapungufu ya mwanamke wake yaani wanaume ni viumbe wabinafsi sana
😬😬😬😬Ww mwanamke kwangu nuna tu hata miaka 200 siwezi bembeleza aisee,hata mtoto siwezi itakua mkubwa,ukizingua nasepa tu,nacheki manzi mwingine.
Ke nyie mnazingua ndo maana upendo toka kwangu ulishaisha,sana sana natumia kanuni ya 1 katika mahusiano kifungu cha 3 a,ambayo inasema (fff) yaani find,**** and forget.