ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sifanyi makosa yaleyale ya kujirudia,ukiona hivyo aidha kiburi au mtu ana nia ovu lazima kuchukua hatua mapemaWewe huwa hufanyi makosa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifanyi makosa yaleyale ya kujirudia,ukiona hivyo aidha kiburi au mtu ana nia ovu lazima kuchukua hatua mapemaWewe huwa hufanyi makosa?
Huu ndio uanaume watu mnaolea wanawake kwa kuwaeleza mna mioyo laini kama wanawake afu nyie ndo watoto wenu wakuwaga mapunga sifa ya baba hakuna kukenua kenua meno hovyo na mwanamke au watoto ndivyo nimelelewa na nime enjoy lifeKwa niaba ya wanaume wote katika kikao Chetu kijacho tutakutunuku nishani kwa kutuwakilisha vyema
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kubembelezwa ni wakati wa kutongoza tu baada ya hapo liwalo na liwe
Mimi siku zote nasemaga wanaume kama ninyi dawa yenu ni ndogo sana hao wake zenu hawajawajulia tu pa kuwakamatia ukipata mwanamke unamsaliti na unampiga halafu anakaa kimya usimchukulie poa mpende na mheshimu sana maana siyo kila mwanamke yuko hivyo nakwambiaKwako mapenzi ni nn? Huna akili wewe mwanamke na mtoto tofauti yenu ni umri tu lakini tabia ni zilezile awe mke,mama,dada shangazi wote mna akili za kitoto
Zingua nikuone afu uzingatie utatii kwa lazima,kwani unavyotandika bakora watoto manaake huwapendi?
Aisee ninakutamani inaonekana wewe ni wale mbaosemaga sijawahi pigwa kwetu sasa mimi ulimwengu ningekufunza
Kwani unavyomsaliti mkeo siyo kosa? Na wewe unapomsaliti mkeo nani anakupiga au anakuadhibu?Sifanyi makosa yaleyale ya kujirudia,ukiona hivyo aidha kiburi au mtu ana nia ovu lazima kuchukua hatua mapema
Ndo maana watoto wenu wanakuwa na mawazo ya kwamba baba yetu ni mkali na hatupendi na mwishowe wanashindwa kuwasaidia hata uzeeni ila ninyi wanaume mnaoendelea kushikilia tamaduni za mababu nawapa pole sana yaani hamtaki kukubali kwamba dunia imebadilika na hizo tamaduni zinakufa taratibu ila ninyi mnalazimisha ziendelee kuwepo siyo mbaya wewe lazimisha tu ila hauzizuii kufa maana hata wewe utakufa piaHuu ndio uanaume watu mnaolea wanawake kwa kuwaeleza mna mioyo laini kama wanawake afu nyie ndo watoto wenu wakuwaga mapunga sifa ya baba hakuna kukenua kenua meno hovyo na mwanamke au watoto ndivyo nimelelewa na nime enjoy life
Kuna wanaume na watu wenye jinsia ya kiume sasa wewe siyo mwanaume ila ni mtu mwenye jinsia ya kiume hata ukikataa haibadilishi ukweli maana hata vichaa nao huwa hawakubali kwamba wao ni vichaa lakini ndo haibadilishi ukweliKabla ya kufikia huko ntakuwa nimeshafanya uamzi unless asirudie lakini akirudia tu sina haja ya kuishi nae
Siishi kwa swaga za biblia au hadithi za haki sawa bali mila na tamaduni za kiafrika japo mimi sio muislam so sitegemei kuwa na mke mja kama wazungu wanavyowaambia ambaye hawezi atambae mbele
Siishi kwa hisia za moyo ila akili mwanamke kwangu ni wa kuzaa na kulea watoto mimi na offer mahitaji kwa return ya utiifu na si vinginevyo,najiandaa na fainali uzeeni mimi kama mm sio kwa kutegemea huruma ya mwanamke au watoto
Hadi mtu anapewa kichapo maanake ni too much lazima nguvu itumike ikishindikana nabwaga manyanga,nafasi ya kubembeleza mwanamke sina mara kadhaa huwa nasema ukiona yamekushinda jikatae kabla sijakukataa mimi
Ukikosea omba msamaha, akikosea akuombe msamaha. Ego ni mbaya sana.Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Kwako kazi ya mwanamke ni kuzaa si ndiyo? Kwahiyo wewe kuzaa unaona ni kitu kidogo? Kama ni kitu kidogo si ungekifanya wewe basi? Huko kuzaa tu ilipaswa iwe sababu tosha ya wewe kumheshimu mkeo halafu wewe unaonekana hata ungepata mwanamke mnyenyekevu bado ungekuwa hivyo hivyo na mitazamo yako ya ajabu na waafrika hatutakaa tuendelee kwa sababu ya hizi tamaduni pendelezi kwa wanaume na kandamizi kwa wanawakeWewe deka zingua ili ubembelezwe,wenye sifa za kiume ni hao mnaosuka wote nywele,sikuhizi wanatombwa nyuma
Kazi ya mke kwangu ni kuzaa huwezi sepa tena jeuri kama wewe ndo nawatakia,mtu akiona hapendi si anasepa kwao kwani hakuna chakula? Kwa nini ukibali taabu? Wewe povu sana utakuwa single mom umeachika sio bure
Kwa sababu una uhakika utapata mwingine siyo? Basi huyo haujampenda na kama huko ndiyo kupenda basi haujui maana ya kupenda.Kubembeleza ni sehemu ya maisha yangu kwa mtu ninayempenda na anayejielewa.
Nitakubembeleza kama Tukio lililotokea mimi ndio nimeliratibu.
Kamwe siwezi omba Msamaha kwa mke au mwanamke yoyote kwa vyovyote. Tabia ya kujiliza liza ati nisamehe, mara sitarudia tena. Oooh sijui nilipitiwa. Yaan kama shoga vile.
Kama umekosea mwambie aamue atakavyo. Akitishia anaenda kwao, unampa nauli na Pesa ya njiani.
Kwa sababu una uhakika utapata mwingine siyo? Basi huyo haujampenda na kama huko ndiyo kupenda basi haujui maana ya kupenda.
Wacha weeYaani wanawake mlivyo wengi bado mtu ajilize lize kama shoga. Tupa kule.
Napenda mwanamke yeyote wala moyo wangu sijaupa Limit umpende mwanamke mmoja. Ukizingua unamwaga anashika nafasi mwingine.
moyo wangu unaongozwa na demokrasia. Mwanamke yeyote anaweza kugombea akaingia ikulu yangu. So mimi ndiye nachagua
Hao wazungu wanaofirana huko ndio maendeleo unayotaka?Kwako kazi ya mwanamke ni kuzaa si ndiyo? Kwahiyo wewe kuzaa unaona ni kitu kidogo? Kama ni kitu kidogo si ungekifanya wewe basi? Huko kuzaa tu ilipaswa iwe sababu tosha ya wewe kumheshimu mkeo halafu wewe unaonekana hata ungepata mwanamke mnyenyekevu bado ungekuwa hivyo hivyo na mitazamo yako ya ajabu na waafrika hatutakaa tuendelee kwa sababu ya hizi tamaduni pendelezi kwa wanaume na kandamizi kwa wanawake
Ndo hivyo sasa siwezi kucheka cheka na mwanamke mimi ni mwanaume halisi wa kiafrika ngoja hao wanaume waendelee kuwabembelezaKuna wanaume na watu wenye jinsia ya kiume sasa wewe siyo mwanaume ila ni mtu mwenye jinsia ya kiume hata ukikataa haibadilishi ukweli maana hata vichaa nao huwa hawakubali kwamba wao ni vichaa lakini ndo haibadilishi ukweli
Watoto wa kiume wanaelewa na wanajali sana baba zao ila wanawake kwa kuwa ni wanawake hao sina mda wa kuhangaika nao wakikaririshwa ujinga na mama zao wanameza bila kuchanganya na zao kama wewe ndio maana hamuishi kuchezewa akili na wachungaji huko kwenye makanisa yenuNdo maana watoto wenu wanakuwa na mawazo ya kwamba baba yetu ni mkali na hatupendi na mwishowe wanashindwa kuwasaidia hata uzeeni ila ninyi wanaume mnaoendelea kushikilia tamaduni za mababu nawapa pole sana yaani hamtaki kukubali kwamba dunia imebadilika na hizo tamaduni zinakufa taratibu ila ninyi mnalazimisha ziendelee kuwepo siyo mbaya wewe lazimisha tu ila hauzizuii kufa maana hata wewe utakufa pia
Usaliti ni kumtelekeza mtu kama hapati huduma angeshasepa,pili mimi sio muumini wa mke mmoja ila muumini wa mitala African traditions ko wivu wako usiwe tabu kwa wengine huwezi unajikataa mbona wengi wako hivyo na maisha yanasongaKwani unavyomsaliti mkeo siyo kosa? Na wewe unapomsaliti mkeo nani anakupiga au anakuadhibu?
Hahahaha wazungu wanaofirana? Kwani watu wa jamii nyingine hawafirani? Au kwa vile wazungu wanajionyesha hadharani ila watu wengine wanafanya sirini? Kufirana ni kufirana tu haijalishi inafanywa hadharani au kwa siriHao wazungu wanaofirana huko ndio maendeleo unayotaka?
Kuzaa kazi ndogo tu hiyo kwa mwanamke sio sawa na kazi ya hustle ya mwanaume uhai wake wote kulisha mwanamke na watoto,kama hili jukumu ni dogo msingekuwa mnatafuta slope za kuolewa
Hadithi za kujifariji tu hizi,kwani nazoa zoa au nawafanyia vetting kwanza mimi mwanamke akiwa mjuaji hawezi kuwa demu sembuse kuoaMimi siku zote nasemaga wanaume kama ninyi dawa yenu ni ndogo sana hao wake zenu hawajawajulia tu pa kuwakamatia ukipata mwanamke unamsaliti na unampiga halafu anakaa kimya usimchukulie poa mpende na mheshimu sana maana siyo kila mwanamke yuko hivyo nakwambia
Wewe ongea tu hayo maneno kwa vile unapata wanawake wanaokubali kuwa mafala ilitakiwa upate mwanamke chakaramu mmoja aliyevurugwa akufanyie kitu ambacho haungemsahau hadi unakufa hauwezi kuelewa kwa sababu haujawahi kupata wanawake wa hivyo waulize wanaume wenzio waliojikuta vidume wababe kama wewe na walinyooshwa na wanawake wakusimulie narudia tena usishindane na ulipotoka