Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja

mungu aliumba vitu viwili viwili wake wengi wewe unataka uwapeleke wapi
 
hivi wanawake mnajisikiaje siku mkiwa mnaolewa,

kwasababu mmekaririshwa sana kwamba "mwanaume rijali lazima achepuke"

sio kwamba mnaona ndoa ni mbio za sakafuni?
 
Ukiona uke wenza mgumu,achika, endelea kudanga mpaka umpate wa peke yako,aliyekwambia uislam ni mali ya waarabu nani!?..unaamini waarabu wanaujua na kuufuata uislam kuliko muislam asiye mwarabu?.. suala la kuoa wake wengi halihusiani na elimu na utajiri,elon musk ana elimu na utajiri,ana mke na watoto 13 toka kwa wanawake tofauti,wakuu wa hizo nchi za kiarabu Wana mke zaidi ya mmoja,kuoa aoe mwingine uumie wewe,ujinga
 
Mleta hoja sidhani kama umeoa, na kama umeoa basi ndoa yako itakuwa chini ya miaka mitano. Ungekuwa mzoefu kwenye ndoa ungeutafakari zaidi ujumbe wako pengine ungekuja na ujumbe bora zaidi. Kwa uzoefu wa kawaida tuu wa mtaani ukiachana na u-genius, kwanini wanaume wenye mke mmoja wanakufa mapema kuliko wenye wake zaidi ya mmoja? Kama hujui chunguza jambo hili Utakuja kunishukuru baadae. Au angalia jamii nyingine za wanyama na uchunguze uwiano wa madume na majike halafu ukajenge hoja yako vizuri zaidi. Asante
 
Kaangalie sensa uwiano uliopo kati ya me vs ke then ujeuseme mmoja mmoja au muendelee kuchapiana au kubakie siri ya kuchapiana
Kwa sensa ya tanzania wanawake wametuzidi milion 1. (Sababu inaweza kuwa sisi tunakufa mapema tunawaacha wakidunda) kwa sensa ya dunia wanaume tumewazidi wanawake . Inatafakarisha. Mambo ya uwiano hayasapoti hoja mkuu
 
Andika nadhani sio nazani.πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰ Sasa kuandika vizuri hujui nguvu za kuhudumia wanawake wanne utazitoa wapi? NB: Iam a woman.
iam woman ❌
i am woman βœ…
i'm woman βœ…

Nakushauri tafuta mwanaume mmoja mzuri mstaharabu anae kutosheleza akuowe uache kutumiwa tumiwa na wanaume hovyo hovyo so negative.
 
Ubarikiwe kwa hii nyundo dada
 
Nadhani mwanaume mmoja anatakiwa kuwa na wanawake wawili, mmoja mke wake, na mwingine ni mchepuko, inasaidia mengi sana na mchepuko ajue kuwa umeoa
Ukienda Kwa mchepuko na mkeo huku anakuwa mchepuko wa mwingine, maana muda anakusubilia wewe unavinjari na mchepuko wako, na yeye hukk wanamchepukia wengine.
 
Sasa kama wanawake ni tofauti kwanini wake za watu wanachepuka kwasababu hao wasio jua kujizuia wanashindwa kutulizwa humo ndani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…