Mwanaume mmoja nchini Nigeria amjeruhi vibaya mkewe baada ya vipimo vya DNA kuonesha kuwa watoto wao watatu sio wa mwanamme huyo

Ni taarifa njema, naamini kuna watu watajifunza kupitia habari hii. Lakini umetumia neno kali sana kwa kumwita binadamu mwenzako Shetani, kwa maana kwenye ndoa za watu kuna mengi. Hebu jiulize maswali haya mawili?
1. Ni sababu gani iliyomfanya mwanamke kuzaa nje ya ndoa?
2. Kipi chanzo cha mwanaume kutaka kuihamisha familia yake nchini Canada?

NOTE: Kila Kisa au Jambo linasababu nyuma ya Pazia. Fikisha ujumbe but don't make a judgement.
 
Kazi nzur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apo bongo hio kitu kuzalishiana ndio vimeenea, usije kujaribu kwenda kupima DNA kama unaishi bongo na family yako, Wanawake akili zao wanazifahamu wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahhaa [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu namba 1 ni kuwa hawa viumbe wanawake wengi wao ni tamaa za kishetani, huwezi kumzakishia mtu watoto watatu alaf akakuacha iviivi, haiwezekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…