Mwanaume Mpumbavu ndio humpigia mkewe magoti. Jioneshe kuwa Mwanaume

Mwanaume Mpumbavu ndio humpigia mkewe magoti. Jioneshe kuwa Mwanaume

Ohooo ndio yamekuwa hayo tena, sasa unaongeleaje wale ambao wanapiga magoti Kwa ajili ya kuwavisha Pete wenzi wao watarajiwa?

Maana kuna wimbi kubwa la wanaume/vijana ambao wakiwa wanakamilisha jukumu la kumvisha Pete mchumba wake wa kike basi hupiga goti/magoti haijarishi kuna watu au hakuna watu

Sasa hawa unawaweka kundi gani hawa mkuu maana wanapiga goti Kwa ajili ya Pete tu na sio kuomba msamaha au wenyewe mada hii haiwahusu?
Hao ni vichaa, usiwaweke kwenye kundi la wanaume.

Uanaume ni sifa na siyo jinsia, ndio maana hata mwanamke akifanya tendo la kishujaa anaitwa jike dume.
 
Mkeo akikuzidi kipato lazima atakupigisha magoti, wanaume tutafute pesa kwa bidii ili tuweze kuwatala Hawa viumbe kwa nguvu zote.
 
MWANAUME MPUMBAVU NDIO HUMPIGIA MKEWE MAGOTI;. JIONYESHE KUWA MWANAMUME

Anaandika, Robert Heriel
Shahidi

Mwanamke pekee ambaye mwanaume anaweza kumpigia magoti ni Mama yake.
Na hapa nazungumzia mwanaume sio mvulana. Nazungumzia mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 20.
Mwanaume atapiga magoti Kwa mamaye Kwa Sababu kuu mbili;
Mosi, kutaka baraka za Mama.
Pili, kuomba radhi/msamaha ikiwa ametenda kosa KUBWA linalostahili laana.

Mwanaume ndiye mungu wa Dunia Hilo halina ubishi. Kama vile Mungu Mkuu asivyoweza kumuangukia, kumpigia magoti mwanadamu ndivyo ilivyo hata Kwa mwanaume hatakiwa kumuangukia na kumsujudia Mwanamke.

Ukitaka mwanamke akuone hamnazo, akudharau, akuone popoma, akushushe na kukuona hujielewi basi mpigie magoti.

Magoti yanamaanisha, unyenyekevu, kujishusha, kujisalimisha, kuhitaji msaada, kuhitaji wokovu, kushindwa nguvu. Hayo ndio magoti.

Elewa kuwa wanawake wanapenda mwanaume halisi, mwanaume mwenye nguvu, sio nguvu za mwili tuu Bali nguvu za kihisia, kimtazamo, kiakili, kiroho na nguvu za kiuchumi.

Hakuna mwanaume mwenye nguvu alafu akajisalimisha au kumpigia mkewe magoti, haijawahi kutokea na kamwe haitokuja kutokea.

Wanawake tuu wenyewe Kwa wenyewe Siakolojia Yao hawawezi kupigiana magoti kwani wanaona huko ni kujidharau.

Usijefikiri ukimpigia Mkeo au mwanamke magoti ndio ataona unampenda. Kuna namna nyingi za kuonyesha upendo wako Kwa mwanamke akakuelewa na akafurahi kuliko Kupiga magoti. Mwanamke ukimpigia magoti Jambo atashtuka na mshtuko wake utauona machoni mwake. Atakushangaa Sana. Alafu hataamini kuwa wewe ni Mpumbavu Kwa kiwango hicho.

Zingatia hata mwanamke mwenyewe kukupigia magoti wewe mwanaume ni mpaka awe anakupenda mno,
Mwanamke haoni shida kupiga magoti Kwa mtu anayekupenda tena kwake atajihisi fahari na hiyo itamaanisha yupo chini yako, anakuaminia, wewe ndiye kiongozi na Jemadari wake, amejisalimisha kwako umfanyie utakavyo.

Mwanamke kama hakupendi hawezi kujipigisha magoti hapo na kujishusha, hawezi na hatokuja aweze.
Hata hivyo Umasikini unaweza kumfanya mwanamke afanye maigizo ya kukupigia magoti.

Hata ufanye kosa gani Kwa Mkeo, hakuna kupiga magoti, Kama hataki kukusamehe achana naye, kila mmoja aendelee na hamsini zake.

Siku utakayopiga magoti ndio siku ambayo sio tuu utajiaibisha mwenyewe Bali hata Mama na Baba yako wakikuona wataona walizaa cherema, Popoma, lofa. Yaani utawaabisha mno.

Ukiwa mwanaume lazima uishi Kama Mwanaume. Ujionyeshe kama Mwanaume. Useme na utembee kama Mwanaume. Ufikiri na kuwaza kama Mwanaume. Sio uwe na mambo ambayo hata Wanawake wenyewe hawana. Huo ni ushoga. Yaani wanawake wenyewe wakikuangalia wanakushangaa kuwa wewe ni mwanaume au kitu gani.

Nakuhakikishia, mwanamke unaweza kumuoa akiwa mwaminifu kabisa lakini matendo yako ya ajabuajabu yanaweza kumfanya atafute mwanaume ambaye ni mwanaume halisi.
Hata kama unampa pesa, unamtunza mkeo, hayo yote Mkeo anaweza kuyapata mwenyewe.
Mwanamke anachotafuta Kwa mwanaume ni kile ambacho yeye Hana, anatafuta Uanaume.

Msikilize Daudi anapompa mausia mwanaye Suleiman; zingatia iliyokolezwa.

1 Wafalme 2:1
Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema

1 Wafalme 2:2
Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujionyeshe kuwa mwanamume;


Huo ndio usia Bora ambao Baba au mama anaweza kumuusia kijana wake.
Jionyeshe kuwa Mwanaume.
Sio unaleta mambo ya ajabuajabu

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Madhara ya Umagharibi!
 
Ohooo ndio yamekuwa hayo tena, sasa unaongeleaje wale ambao wanapiga magoti Kwa ajili ya kuwavisha Pete wenzi wao watarajiwa?

Maana kuna wimbi kubwa la wanaume/vijana ambao wakiwa wanakamilisha jukumu la kumvisha Pete mchumba wake wa kike basi hupiga goti/magoti haijarishi kuna watu au hakuna watu

Sasa hawa unawaweka kundi gani hawa mkuu maana wanapiga goti Kwa ajili ya Pete tu na sio kuomba msamaha au wenyewe mada hii haiwahusu?
Na wao pia inawahusu
 
Inategemea na situation...

Mimi napiga magoti vizuri tuuu muda mwingine hata kutembea na magoti... Kama kuna kulia nalia hadi kamasi... Au muda mwingine nalia kile kilio cha yoweee.... Yote nafanya kipindi nabembeleza nipewe mbususu.....

Fwala[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ohooo ndio yamekuwa hayo tena, sasa unaongeleaje wale ambao wanapiga magoti Kwa ajili ya kuwavisha Pete wenzi wao watarajiwa?

Maana kuna wimbi kubwa la wanaume/vijana ambao wakiwa wanakamilisha jukumu la kumvisha Pete mchumba wake wa kike basi hupiga goti/magoti haijarishi kuna watu au hakuna watu

Sasa hawa unawaweka kundi gani hawa mkuu maana wanapiga goti Kwa ajili ya Pete tu na sio kuomba msamaha au wenyewe mada hii haiwahusu?

Hao nao ni mafala tuu..jiulize kwann huu utopolo umekuwa mwingi sku hzi??wazee wetu walikuwa na huo ujinga???
 
Kuna siku unakuta unamakosa hata shetani kakimbia kukusaidia wakati alikua anakupa kampani kuyafany[emoji1787][emoji1787][emoji1787]anakuacha sasa upambane na ukiangalia ww ndo mwenye makosa ..mfano mm nilizaa na wanawake wawili tofauti na wife kaja kugundua bwana ww ilibidi niwe mpole sana maana ningekua mkali leo hii watoto wangu wangekua wanalelewa na mama wa kambo..
Mwanamke sometime unamwacha nae atoe maumivu yake piga goti hata osha vyombo ili tu aone kweli unajutia ila ukijifanya ww mbabe ndo maana nyumba nyingi tunakufa tunawaachia wanawake maana tunayafanya maisha yawe magumu sisi wenyewe.
Komenti ya kibwege sana hii
 
Hua napenda kusoma mada zako, ila nikifikiria huo mkeka wa uzi zako hua nachoka bc hua nasoma comments tuu
Afadhari nyuzi zake ukianza kusoma paragraph ya kwanza tu, unatamani kumalizia habari nzima kuliko nyuzi za yule jamaa mwenye mchepuko wake wa kudumu. Huwa simalizi kwa kweli
 
Pole Sana.
Yaani mbususu ndio uteseke hivyo?

Hiyo ni Dalili kuwa hujiamini,
Na pia unashoo mbovu, yaani Mkeo humfikishi anapopataka.

Mwanamke kama unamfikisha na kumridhisha kileleni hawezi kukusumbua kwenye kukupa mbususu.

Lakini kama ndio Wale kuwatesa watoto wa watu, hawafiki lazima akunyime
Machoko mengi siku hz
 
Back
Top Bottom