Mwanaume Mpumbavu ndio humpigia mkewe magoti. Jioneshe kuwa Mwanaume

R.I.MAPENZI sijawai kuwa zombie kias icho
 
Hao ni vichaa, usiwaweke kwenye kundi la wanaume.

Uanaume ni sifa na siyo jinsia, ndio maana hata mwanamke akifanya tendo la kishujaa anaitwa jike dume.
 
Mkeo akikuzidi kipato lazima atakupigisha magoti, wanaume tutafute pesa kwa bidii ili tuweze kuwatala Hawa viumbe kwa nguvu zote.
 
Madhara ya Umagharibi!
 
Na wao pia inawahusu
 
Inategemea na situation...

Mimi napiga magoti vizuri tuuu muda mwingine hata kutembea na magoti... Kama kuna kulia nalia hadi kamasi... Au muda mwingine nalia kile kilio cha yoweee.... Yote nafanya kipindi nabembeleza nipewe mbususu.....

Fwala[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hao nao ni mafala tuu..jiulize kwann huu utopolo umekuwa mwingi sku hzi??wazee wetu walikuwa na huo ujinga???
 
Komenti ya kibwege sana hii
 
Hua napenda kusoma mada zako, ila nikifikiria huo mkeka wa uzi zako hua nachoka bc hua nasoma comments tuu
Afadhari nyuzi zake ukianza kusoma paragraph ya kwanza tu, unatamani kumalizia habari nzima kuliko nyuzi za yule jamaa mwenye mchepuko wake wa kudumu. Huwa simalizi kwa kweli
 
Machoko mengi siku hz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…