Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

View attachment 3202586

Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code

Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!

Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja

Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake

Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi

Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake

Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo

Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake

Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr

Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=

Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000

Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake

Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!


Ni hayo tu!
mkuu, nondo zako ni za kweli zaidi ya 80%. actually mwanamke akishajua code zako zote basi unakuwa huna jipya tena kwake....kuhusu hela ni umepatia mno kaka. uishi sana
 
Ndo hapo sasa au mwengine anachepuka na house girl. Mimi nawashangaaga wanaosema mwanamke hajui akitakacho.

Mindset zao hazipo sawa,, inabidi wabadili hiyo mitazamo Yao.
Halafu anamsingizia mkewe, utazani mkewe ndiye huwa anamshikia anapotembea
 
Yaani pamoja na mipango mizuri, mikakati na mafunzo mnayopeana kuhusu wanawake lakini bado watu wanapigwa na vitu vizito hivi kwa nini lakini?
 
Yaani pamoja na mipango mizuri, mikakati na mafunzo mnayopeana kuhusu wanawake lakini bado watu wanapigwa na vitu vizito hivi kwa nini lakini?
Kama hawataki kuufanyia kazi ushauri wanao pewa waache wapigwe tu
 
Hyo number niliweza kwa ex wangu,

Hyo number moja ndio nime apply kwa mama mtoto
 
Code zimesimama, ila sasa hizi code hazizuii demu kuliwa nje, ndo ubaya wa hawa viumbe

Mtu akija kunipa mbinu ya kumfanya demu abaki njia kuu tuu asitoke nje kwa 100% . Ntaizingatia, ila hizi zingine naona tunarudi kule kule tuu....ATALIWA TUU
vp yamekukuta mkuu
 
Kwaiyo 80 ni hela kubwa sana kumpa mwanamke Kwa ajil ya urembo apendeze wengine wakiwahudumia mnawaona wanapendeza mate yanawajaa

Wanaume tafuten hela achen visingizio kama huwez hudumia mke wako achen kuja huku kulia mpate huruma za wengine
Wewe unamhudumia mmewo hata shilingi kumi kweli. Yaani unao mchango Gani kwake ama faida unayompatia mbali na kikojoleo , uzuri wa mwanamke umezaliwa nao na sio hayo makorokoro yako unayoweka unadhani kuwa ndiyo yatoayo mate watu.
Wewe Kama huna shape huna hata ujivike urembo wa dunia nzima.
Kama unalo umbo zuri hata Kama ni kichaa anavutia machoni. Unadhani uvaaji wako,kujiremba kwako ndiko unafanya mwanaume anatoa mate, mwanaume anatoa mate kwa vile tu ulivyoumbwa na Mungu akakupa mwili Gani, na Mungu akamuwekea tamaa mwanaume ili avutiwe na wewe ulivyoumbwa,

Sasa kwenye kuumbwa wewe hujatumia gharama yoyote ama ulimlipa Mungu ili akuumbe akaakupe shape
 
tu tafute hela? we hujui kutafuta hela? mbali na uchi mwanamke ana nini cha ziada? nidhamu ya pesa ndo msingi kwa mwanaume yeyote yule
Wanatumia kauli ya wanaume tafuteni pesa ni mandezi. Hizo kauli ni za miaka ya 60 huko kipindi mama zetu hawana fursa kama za Leo. Leo wote tu nasoma mpaka chuo kikuu... Tunaajiriwa na kujiajiri... Mfumo unawabeba wanawake.. Kama ni rahisi kuzitafuta si wazitafute wao badala ya kulilia za wanaume? Hapo kinasema 80k ni ndogo ukute halina hata ten kwenye account.
 
Code zimesimama, ila sasa hizi code hazizuii demu kuliwa nje, ndo ubaya wa hawa viumbe

Mtu akija kunipa mbinu ya kumfanya demu abaki njia kuu tuu asitoke nje kwa 100% . Ntaizingatia, ila hizi zingine naona tunarudi kule kule tuu....ATALIWA TUU
Labda umroge
 
Back
Top Bottom