SI KWELI Mwanaume mwenye vipele vidogo kwenye kichwa cha uume hawezi kupata UKIMWI na magonjwa ya zinaa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
HIo ishu umeisikia wap? Maana kwenye Ukimwi ni virus na magonjwa ya zinaa ni Bacteria habagui kabisa group la damu au hivyo vipele ni kupenya tu kwenye mrija wa haja ndogo na kuingia kwenye Damu.

#JE WAJUA, KATI YA SINDANO YENYE MAUMIVU DUNIANI NI YA GONO
 
Wazee hii ni kama inamake sense binafsi mimi hivo vipele ninavyo na ninavyo toka kitambo sana na sijuag vilikuja kwanini.

Cha kushangaza kama umefatilia nyuzi zangu nilishawahi kuwa na Dem ana sijuwi ni uti sugu ile au niliitaje lile gonjwa lakin kwangu mm lilidunda.

Kwenye ukimwi sijuwi na sitak kufanya research ya vitendo
 
Kuna ukweli hapa, Kwa umri huu wa 42yrs sijawahi Hata kuumwa mkojo mchafu Wala gono Wala muwasho kichwani, na nazichakata kwelikweli😊
dogo kazana.,binafsi nilikua kama wewe sasa niko umri wa uzee na bado napiga huwa najiuliza vijana wako wapi hadi wazee tunawasaidia jukumu lao kwa kweli nimefurahi kusikia vijana kumbe mpo japo kwa uchache kwenye ndani ya sekta
 
Hivi kuna dushe zisizo na vipele kwa head?!
 
Sijui kama hii tafiti ni kweli au uongo ila nipo hivyo na kiukweli sijawahi kupata gonjwa lolote la ngono,

Kuna kipindi kama Miaka miwili imepita nilishiriki Ngono bila kinga na binti mmoja hivi baada ya siku mbili nikaanza kukojoa Uji uji mweupe kama usaha ila baada ya siku mbili kupita ile hali ikaisha hata bila kunywa dawa yoyote.
 
Kuna mtu alipata tatizo la zinaa kwa mda mfupi kisha likapotea na akawa sawa kabisa, siku moja akaamua tu aende hospitali kufanya check up, daktari akamwambia mshukuru MUNGU mno maana ulikuwa unaenda kupoteza uzazi kwa mashambulizi ya ndani kwa ndani. Nasikia kuna gonjwa la zinaa linafanyaga maujinga ujinga halafu linapotea kama halipo vile ila lipo ndani kwa ndani, likirudi tena nje ukaanza kukojoa usaa sijui damu ndo lishamaliza kazi unakuwa huna uzazi.
 
Kwa mwanaume uzaz unaharibikaje mkuu ?? Kwa mwanamke nnavyojua ugonjwa hushambulia mirija ya fallopio na kuizba mpaka inashndwa kupitisha manii!! Nifafanulie Kwa mwanaume how uzaz unaweza haribiwa ??
 
Kwa mwanaume uzaz unaharibikaje mkuu ?? Kwa mwanamke nnavyojua ugonjwa hushambulia mirija ya fallopio na kuizba mpaka inashndwa kupitisha manii!! Nifafanulie Kwa mwanaume how uzaz unaweza haribiwa ??
Sasa boss uume usiposimama utazalishaje? Au utauingiza kama utambi?

Magonjwa kama Syphilis inaweza ikadisupt nerve signals ambazo zinahusika na uume kusimama, Chlamydia, Gonorrhea kama zisipotibiwa zinaweza leta tatizo la kutokusimama uume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…