MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
- Thread starter
- #201
Alafu akiwa anafanyaa hizo kazi awe kifuaa wazi yaaaan na kajasho kwa mbaaaaali kinamtiririkaa daaaaah lazimaa umsindikize bafuni kuogaaa ukamsugue mgongo sio mwanaume kutwa nzimaa kashinda kwenye game hata nje hatoki au kutwa nzimaa anashinda jf kukosoa watu
simu lake ukishika kwenye search engne ni mimechi tu ya mpira!mara EPL,mara lariga sijui,mara nn sijui..ht kuosha gari walau mara moja moja hawezi !yupo km misukule ya ccm