Alafu akiwa anafanyaa hizo kazi awe kifuaa wazi yaaaan na kajasho kwa mbaaaaali kinamtiririkaa daaaaah lazimaa umsindikize bafuni kuogaaa ukamsugue mgongo sio mwanaume kutwa nzimaa kashinda kwenye game hata nje hatoki au kutwa nzimaa anashinda jf kukosoa watu
Ahahahaaaaaasimu lake ukishika kwenye search engne ni mimechi tu ya mpira!mara EPL,mara lariga sijui,mara nn sijui..ht kuosha gari walau mara moja moja hawezi !yupo km misukule ya ccm
Kweli utshangaa mwanaume kutwa kucha yupo jf anakosoaa wanavyopost wenzano na wengine wana stress za u jobless basi kwa kutoleaa wenzao mapovu hawajambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
At kushinda Jf kukosoa watu
Yupo mmoja wa hivo humu jf ananiuzi sana kiukweli,nkionaga comment yake nascrow fastaaaaaa anajikuta sana yule mtu,halafu ukute uko mtaani ni bonge la kinyago[emoji57]Kweli utshangaa mwanaume kutwa kucha yupo jf anakosoaa wanavyopost wenzano na wengine wana stress za u jobless basi kwa kutoleaa wenzao mapovu hawajambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Baby vipi hizo sifa unazo kidogo au huna kabisa?
[emoji23]Kweli utshangaa mwanaume kutwa kucha yupo jf anakosoaa wanavyopost wenzano na wengine wana stress za u jobless basi kwa kutoleaa wenzao mapovu hawajambo
Wale wakulima si wamchezo wanalima lakini kila siku wanapata watoto unazani wanawaokota wanafanya kazi mkuuWanawake bwana!
Eti raha sana kuona jasho linatiririka Mara sijui boxer ionekane.....
Watu tunatiririsha jasho huku mashambani ukirudi nyumbani hata hamu ya kugegeda huna!
Kumbe nyi ndo mnafurahi....
Hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yamkeka best?ilikufa!ndo nimeolewa ya5 leo
Ukirudi nyumbani jishughulishe hata kusogeza sofa au kufuta hata vumbi kwenye tv na radio[emoji4] [emoji4] [emoji4]Kwahyo sie madalali ofisi mdomo,tunaotafuta hela bila kutoka jasho sio wanaume eeh?
Jasho la nyumbani ukitoka huko unakoga na perfume kidogo kisha unajizungusha kijasho kina kutokaha
hamueleweki mbona wa hivi wabeba mizigo wamejaa ubungo bus stand wakiwasimamisha mnakimbia eti wananuka vikwapa mmetuchosha na kutokijatambua kwenu..Mnashinda kukimbilia wenye magari leo mnasema mwataka wakata fensi na wapiga jeki ahahahhaaa mpaka mjitambue kiama kimefika
Baba anafutafuta gari yake mama unaitwa mama Janet embu niongezee maji hapa maana nilivyochafuka nitakuchafulia ndani kwakoHahaaa. Wakati naandika jirani nilijikuta natamani niongeze hako kaneno ka vijana kukosa ajira nikiwa nawaza mtajitetea kwenye hilo kumbe nawe umeliona na kunibania hapo. Lol.
Sio mbaya ila basi hata mara moja moja jirani muwe mnapumzisha pesa kidogo za kuwapa hao mafundi au na upande wa nyumbani naye houseboy siku hiyo awe na vimapumziko kidogo ili baba naye atoke jasho. Teh.
hiki kama ni kikabila.Hange wayomba kizungu! ole nsukuma wa hale?
Anakazia mapochopocho wala hajaachikaSiamini kama mtoa mada kaachwa
namim naanza nawew kwanin unamxema mwenzako ili uonekane una kazi au? haya ni maixha tyu scrol na hiiYupo mmoja wa hivo humu jf ananiuzi sana kiukweli,nkionaga comment yake nascrow fastaaaaaa anajikuta sana yule mtu,halafu ukute uko mtaani ni bonge la kinyago[emoji57]
Yani ukiambiwa hivi unajikuta kichwa kimevimba mpaka kukibeba huweziBaba anafutafuta gari yake mama unaitwa mama Janet embu niongezee maji hapa maana nilivyochafuka nitakuchafulia ndani kwako
Wewe MBITIYAZA ya ukweli hayo kwahiyo wote mnakimbia mijusi na konokono[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaha iweke fresh hv;kuna radi ya hapa na pale !basi radi lipige akimbilie kwenye mainswitch mwenzako ataogopa !atamwambia dada wa kazi au wife azime!lol
Hujanielewa kijana,namaanisha huyo mtu yeye post yoyote anayopita lazima akosoe tena kwa matusi,yani anajikuta yeye ndo mkamilifu na ana akili kuliko watu wote.namim naanza nawew kwanin unamxema mwenzako ili uonekane una kazi au? haya ni maixha tyu scrol na hii
Usipende kutumia x kwenye snamim naanza nawew kwanin unamxema mwenzako ili uonekane una kazi au? haya ni maixha tyu scrol na hii