Mwanaume ndo huyu

Hilo neno ndugu yangu, kuna jamaa kaenda kutembelea ndugu tyre pancha hiyo mwanaume na shemela wake wakashikiana na kubadilisha jingine mambo mswano sio hapa kuna garage karibu

hahhha bhaeleze !nakumiss
 
Mpo wawili mtu unajigubika manguoa,umevaa nguo ya kitenge ina bega kama pembe za ndovu,lemba sasa kama mama wa kinaijeria kahudhuria ndoa ya mwanae


hahhhhhhahahhahahahhahahahh dogo naumwa jaman nimecheka sana mwili unauma!ahahaah eti pemmbe za ndov haaahahahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahhahaha
 
Wewe MBITIYAZA ya ukweli hayo kwahiyo wote mnakimbia mijusi na konokono[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


hhhhaa kuna wat waoga wewe acha tu!kuzima mainswitch kisa kuna radi anaogopa tena anakimbia live !yaan mm binafsi sipendi nijue uoga wa mwanaume kbs !najihs sitakuwa safe maishani...mifano po mob
 
Anajua ni wajibu wake kutunza familia, atanunua kiwanja na kujenga nyumba na kama mmepangisha atalipa kodi

Akifanya haya hata mkate ukiisha unaona aibu kumwambia
Hilo la kodi ya nyumba itakuwa unamsema Mme wa j. Kiria wewe,
 
hhhhaa kuna wat waoga wewe acha tu!kuzima mainswitch kisa kuna radi anaogopa tena anakimbia live !yaan mm binafsi sipendi nijue uoga wa mwanaume kbs !najihs sitakuwa safe maishani...mifano po mob
Kwanini unazima main switch kukiwa na radi?
 
hhahaah kama namhis hv!bila shaka hyo ni mdogowangu Bujibuji (jokes)
Haha bujibuji ananfurahishaga,yan uyo nikimtaja kitakuja kikosi kunihamisha humu,mana pamoja na dharau zake lakin ana wafuasi wanamkubali,sa sijui wanamkubali kinafiki ili wasichambwe au wako real
 
Haha bujibuji ananfurahishaga,yan uyo nikimtaja kitakuja kikosi kunihamisha humu,mana pamoja na dharau zake lakin ana wafuasi wanamkubali,sa sijui wanamkubali kinafiki ili wasichambwe au wako real

i knw him
 
Hilo neno ndugu yangu, kuna jamaa kaenda kutembelea ndugu tyre pancha hiyo mwanaume na shemela wake wakashikiana na kubadilisha jingine mambo mswano sio hapa kuna garage karibu
Sasa dada yangu, asubuhi naenda ofisini na shati jeupe, gari imepata pancha unategemea niingie uvunguni wakati kuna vijana wamekaa kijiweni wanasubiri hela ya kula?! Si nampa 2000/- anabadili tairi.
Kubadili hilo tairi sio issue, matokeo ya hio kazi ndio issue. Saa zingine tunagawana riziki sio kila kitu unakomaa.
 
Wanawake bwana!
Eti raha sana kuona jasho linatiririka Mara sijui boxer ionekane.....

Watu tunatiririsha jasho huku mashambani ukirudi nyumbani hata hamu ya kugegeda huna!
Kumbe nyi ndo mnafurahi....
hahaahahahahaahha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…