Mwanaume ndo huyu

Mwanaume ndo huyu

hhhhaa kuna wat waoga wewe acha tu!kuzima mainswitch kisa kuna radi anaogopa tena anakimbia live !yaan mm binafsi sipendi nijue uoga wa mwanaume kbs !najihs sitakuwa safe maishani...mifano po mob
Uliwa Ukiwa na mwanaume jasiri unajiamini sio akisikia puuu wakwanza kutoka nduki anasahau kama alikuwa na mkewe [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
  • Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
  • Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
  • Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga jeki kutoa tyre(mfano tu )
  • Raha sana kuona mwanaume anahudumia mifugo ile ameinama na kaboxer kake kanaonekana ka kiume(awwww) ...Yaan ht mzuka wa kuingia jikoni na kanga moko kumpikia unakuja automatic
  • Kuna raha ya ajabu kumuona mwanaume anakata fence ya kuzunguka nyumba yake kale kajasho anakosweat huwa kichocheo ka kupewa game la kimafia kale kajasho ni BOOSTER KUBWA
La mwisho mwanaume halisia ni yule anaejua jiografia ya mwanamke... yaan yule anaejua nn anatakiwa kufanya kwenye mwili wa mwanamke(hapa naomba nitie msisitizo kwel kweli)
............sio mwanaume hata kukata muhindi wa kuchoma unashindwa,kubeba kilo 20 za mahndi wewe liulimi lote njee,
POPOTE ULIPO MWANAUME WA AINA HII SHOUT IT OUT TO YOU




UNSPECIFIED

@akiliZaDesperado
mimi mpenzi wangu Mzigua90 kashanisifia sana inatosha sidanganyiki
 
Sasa dada yangu, asubuhi naenda ofisini na shati jeupe, gari imepata pancha unategemea niingie uvunguni wakati kuna vijana wamekaa kijiweni wanasubiri hela ya kula?! Si nampa 2000/- anabadili tairi.
Kubadili hilo tairi sio issue, matokeo ya hio kazi ndio issue. Saa zingine tunagawana riziki sio kila kitu unakomaa.
Sio ndiyo kila siku siku moja moja na silazima gari kuna vitu vingi sasa weekend nyumban nikulala tuu, nisikuona unasafisha hata feni jamani!
 
Uliwa Ukiwa na mwanaume jasiri unajiamini sio akisikia puuu wakwanza kutoka nduki anasahau kama alikuwa na mkewe [emoji39] [emoji39] [emoji39]

hahaha hao ndo wanaume..hahaha yaan sijui niiwekeje hii waielewe
 
Tuna fen za kuzunguka humo ndani weekend upo sitting room inavumbi baba anaifungua nakuisafisha

ewaaaaaaaaaaaa! walau azungukie nyumba kuangalia ht mbwa basi !bas akogeshe walau mbwa,km josho lipo mbali au bas apeleke mwenyewe mbwa kwenye majosho !uwiii yupo tu... na majiti mdomon anasubiria match ya arsenal tu hapo !arghhh

mvua imepasua njia maji yanaharibbu nyumba !bas achukue jembe achonge njia hakuna !anasubiria hausboy!mxiew
 
Tuna fen za kuzunguka humo ndani weekend upo sitting room inavumbi baba anaifungua nakuisafisha
Umekomalia kufuta feni. Hio feni inafungwa ndani ya dari. Maanake nipande na nyundo nikatindue misunari iliogongelewa.
Njia rahisi ni kumpa yule hg wetu ufagio wa kutolea vumbi aifute tu.
 
wewe RRONDO imagne siku unasafar !unafika porin kitu pancha !ile kuweka tu jeki chin ya gari huwez achana na kufungua ht zile nut...mm nazungmzia hao!nn shat jeupe!lol
 
Umekomalia kufuta feni. Hio feni inafungwa ndani ya dari. Maanake nipande na nyundo nikatindue misunari iliogongelewa.
Njia rahisi ni kumpa yule hg wetu ufagio wa kutolea vumbi aifute tu.
hhhaa wewe ndo naomba uelewe kwann umpe beki 3 kwan ww huwez
 
Back
Top Bottom