Mwanaume ndo huyu

Mwanaume ndo huyu

Anajua ni wajibu wake kutunza familia, atanunua kiwanja na kujenga nyumba na kama mmepangisha atalipa kodi

Akifanya haya hata mkate ukiisha unaona aibu kumwambia
Hui ni ujuha. Niile zamani. Mnapotaka haki sawa ni kwenye eneo gani hasa, km kila kitu mnamuelekezea mwanaume. Pigeni msuli pamoja. C kila kitu mwanaumemwanaume alafu iweje? Km huna kazi uko home utaeleweka na kukaa home upambane na hali ili maisha yasonge mbele. Kwanza wanaume wa namna hiyo wanawaharibu wanawake siku hayupo mnaanza kujiuza kwakuwa hamjazoea kuwajibika zaidi yakuwajibikiwa.
 
  • Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
  • Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
  • Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga jeki kutoa tyre(mfano tu )
  • Raha sana kuona mwanaume anahudumia mifugo ile ameinama na kaboxer kake kanaonekana ka kiume(awwww) ...Yaan ht mzuka wa kuingia jikoni na kanga moko kumpikia unakuja automatic
  • Kuna raha ya ajabu kumuona mwanaume anakata fence ya kuzunguka nyumba yake kale kajasho anakosweat huwa kichocheo ka kupewa game la kimafia kale kajasho ni BOOSTER KUBWA
La mwisho mwanaume halisia ni yule anaejua jiografia ya mwanamke... yaan yule anaejua nn anatakiwa kufanya kwenye mwili wa mwanamke(hapa naomba nitie msisitizo kwel kweli)
............sio mwanaume hata kukata muhindi wa kuchoma unashindwa,kubeba kilo 20 za mahndi wewe liulimi lote njee,
POPOTE ULIPO MWANAUME WA AINA HII SHOUT IT OUT TO YOU




UNSPECIFIED

@akiliZaDesperado
Na yule anaye twanga miti hata mitano kwa mpigo
 
Mimi huu mzigo nilioning'iniza una cover nafasi zote hizo kwani ukiuona bila shaka utasahau shida zako.
 
  • Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
  • Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
  • Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga jeki kutoa tyre(mfano tu )
  • Raha sana kuona mwanaume anahudumia mifugo ile ameinama na kaboxer kake kanaonekana ka kiume(awwww) ...Yaan ht mzuka wa kuingia jikoni na kanga moko kumpikia unakuja automatic
  • Kuna raha ya ajabu kumuona mwanaume anakata fence ya kuzunguka nyumba yake kale kajasho anakosweat huwa kichocheo ka kupewa game la kimafia kale kajasho ni BOOSTER KUBWA
La mwisho mwanaume halisia ni yule anaejua jiografia ya mwanamke... yaan yule anaejua nn anatakiwa kufanya kwenye mwili wa mwanamke(hapa naomba nitie msisitizo kwel kweli)
............sio mwanaume hata kukata muhindi wa kuchoma unashindwa,kubeba kilo 20 za mahndi wewe liulimi lote njee,
POPOTE ULIPO MWANAUME WA AINA HII SHOUT IT OUT TO YOU




UNSPECIFIED

@akiliZaDesperado
Hapa moja kwa moja nimefuzu mimi
 
Ajabu mtu anang'ang'ania watu waishi anavyoona yeye inafaa.
Hata mimi ndio nashangaa na ndio nimegundua hizi parameters walizo eja zina indicate maisha yao huko waliko ila wao wanataka wageneralize
 
Sifa moja inatosha kuthibitisha kuwa huyu ni mwanaume ili mradi awe nayo, zingine ni kumkamilishia tu kuwa ni mwanaume wa aina fulani
 
Back
Top Bottom