Mwanaume ni Competitive, ni hunter hiyo ni tofauti kubwa kibaolojia!

Mwanaume ni Competitive, ni hunter hiyo ni tofauti kubwa kibaolojia!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Sasa hivi nchi imetulia tulii kama kama maji, hakuna mashindano, hakuna ari ya kutaka kuwa wa kwanza na kuwazidi wengine, hata washindani wa Tanzania kama Kenya wame relaxed na kupumua kwani hakuna mikiki mikiki ya ushindani wanapata kila wanachokitaka.

Hiyo ndiyo tofauti kubwa kati ya Mwanamke na Mwanaume, wakati Magufuli ni raisi hatukutulia ilikiwa ni mikiki mikiki, tunashindana, tulitaka kushinda kila mahali, tuli revenge tulipokuwa violated, tulifanya tit for tat hiyo yote ni testosterone ya kiume, a man must win hiyo ni nature ya Mwanaume.

Sasa ina faida na madhara yake, ndiyo maana wanasema Dunia ingeongozwa na Wanawake kusingekuwa na Vita au labda tuseme Vita vingepungua kwa maana Wanawake siyo competitive by nature wanaridhika na kilichopo wakati Mwanaume ni risk taker.

Hivyo labda ni kweli Dunia ingepoa kuhusu vita lkn pia ingekuwa nyuma kimaendeleo kama Wanawake wangeachiwa kutawala.

Mwanamke anahitahi vitu vichache sana aridhike na maisha, lkn a man is a risk taker, fikiria wanaokwenda kuiba mafuta kwenye lori lililopata ajali na kuwaka moto, thats a man, …
 
Ushindani unaanzia kwenye ubongo, kuwa na uwezo wa kufikiria ili kupambana na changamoto zinazojitokeza na kuzishinda, hiyo huwepo kwa yeyote bila kujali jinsia yake.

Lakini kama individual hana uwezo huo, badala yake kila siku anaishia na "hili mkalitazame", hapo hakuna mtu, lazima msinzie tu huku kila mmoja wenu akijitafunia kwa urefu wa kamba yake.
 
Wote tuna competition sema nyie ni violent. Wanawake wana mashindano ya kila aina.
 
Ushindani wa kuua Wananchi wako na kuliingiza Taifa lako kwenye madeni ya kutisha?
 
Ushindani unaanzia kwenye ubongo, kuwa na uwezo wa kufikiria ili kupambana na changamoto zinazojitokeza na kuzishinda, hiyo huwepo kwa yeyote bila kujali jinsia yake.

Lakini kama individual hana uwezo huo, badala yake kila siku anaishia na "hili mkalitazame", hapo hakuna mtu, lazima msinzie tu huku kila mmoja wenu akijitafunia kwa urefu wa kamba yake.
Nchi iliongozwa na mtu aliyekuwa akibweka majukwaani kama mbwa mwenye kichaa ilisaidia nini? Mabilioni ya fedha kwenda kufichwa China

Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa mikoa kugeuka majambazi yanayopora watu mchana kweupe

Wafanyabishara wakubwa kutekwa na majambazi
Wabunge kunusurika kuuawa bungeni
Nchi imetulia ina amani sasa hivi, mfumuko mdogo zaidi wa bei kwa nchi za Afrika mashariki na kati, ajira zinatoka na mishahara inaongezwa
Nchi jirani zinatuheshimu
 
fikiria wanaokwenda kuiba mafuta kwenye lori lililopata ajali na kuwaka moto, thats a man, …
Ajali ya moto uliotokana na uchotaji wa mafuta kwenye Lori pale Msamvu Morogoro iliua wanawake kibao kwasabb nao walikuwa wakichota
 
Nchi iliongozwa na mtu aliyekuwa akibweka majukwaani kama mbwa mwenye kichaa ilisaidia nini? Mabilioni ya fedha kwenda kufichwa China

Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa mikoa kugeuka majambazi yanayopora watu mchana kweupe

Wafanyabishara wakubwa kutekwa na majambazi
Wabunge kunusurika kuuawa bungeni
Nchi imetulia ina amani sasa hivi, mfumuko mdogo zaidi wa bei kwa nchi za Afrika mashariki na kati, ajira zinatoka na mishahara inaongezwa
Nchi jirani zinatuheshimu
Kwa hiyo kwako heri uongozwe na zeze..!.

All the best.
 
Hili liuzi limekaa kiumbea halina kichwa wala miguu!
Mtajiju, mi na sepa [emoji35]
 
Back
Top Bottom