Mwanaume pendezesha nywele yako kwa mafuta haya

Mwanaume pendezesha nywele yako kwa mafuta haya

MUCOS

Member
Joined
Jun 24, 2024
Posts
99
Reaction score
357
IMG_20240913_151540_0.jpg

Ndugu zangu natumai mko salama kabisa.

Matumizi

a. Baada ya kuoga/kuosha nywele paka mafuta yako kwa kutumia mkono.

b. Pia unaweza kupaka mafuta haya hata kama hujaosha nywele/kwa nywele kavu.

c. Paka Mara moja tu kwa siku. Na tumia kiasi kidogo sana kwani mafuta haya yanakolea sana na kwa haraka.

Ubora

a. Kufanya nywele kuwa nyeusi ti ndani ya mwezi mmoja.

b. Kufanya nywele kumeremeta na kunawiri.

c. Kuongeza kasi ya kukua kwa nywele.

d. Inasaidia kupunguza na pia kutokuonesha mvi.

e. Hairabu nywele kama super black. Hapa utasahau kabisa matumizi ya super black.

f. Bei yake ni affirdable)/ipo chini. Kopo dogo linauzwa kuanzia elfu tatu.

g. Unaweza kutumia pamoja na mafuta mengine hasa ya nywele ya mgando au mafuta ya maji/nazi.

Changamoto

a. Huacha mabaki madogo madogo katika mikono baada ya kutumia. Hivyo kunawa mikono na maji safi na sabuni ni muhimu baada ya matumizi.

b. Huweza kuacha uchafu kwenye shuka kwa kiasi kidogo. Hivyo wakati wa kulala tumia kofia ya kulalia au osha nywele kabla ya kulala.

Asanteni sana.
Karibuni tupendeze
 
Mmuu
Haya mafuta nishawahi kuyatumia,,Adha yake ni kama zifuatazo:-
1. KUCHAFUA MIKONO(VIGANJA)
2. KUCHAFUA MASHATI
3. KUCHAFUA SHUKA, MCHAGO/MTO
4. KUGANDIA KWENYE NGOZI KAMA PIKO YA WAMAMA.

N. K
Mkuu inaoneka ulitumia mafuta feki. Original Haina tabia ya kuganda kwenye ngozi. Na kwa habari ya mkono ukiosha kwa maji safi na sabuni haichafui mikono. Kuhusu kuchafua mashati nadhani ni suala la ustraabu tu kwa mtumiaji husika
 
View attachment 3094976
Ndugu zangu natumai mko salama kabisa.

Matumizi

a. Baada ya kuoga/kuosha nywele paka mafuta yako kwa kutumia mkono.

b. Pia unaweza kupaka mafuta haya hata kama hujaosha nywele/kwa nywele kavu.

c. Paka Mara moja tu kwa siku. Na tumia kiasi kidogo sana kwani mafuta haya yanakolea sana na kwa haraka.

Ubora

a. Kufanya nywele kuwa nyeusi ti ndani ya mwezi mmoja.

b. Kufanya nywele kumeremeta na kunawiri.

c. Kuongeza kasi ya kukua kwa nywele.

d. Inasaidia kupunguza na pia kutokuonesha mvi.

e. Hairabu nywele kama super black. Hapa utasahau kabisa matumizi ya super black.

f. Bei yake ni affirdable)/ipo chini. Kopo dogo linauzwa kuanzia elfu tatu.

g. Unaweza kutumia pamoja na mafuta mengine hasa ya nywele ya mgando au mafuta ya maji/nazi.

Changamoto

a. Huacha mabaki madogo madogo katika mikono baada ya kutumia. Hivyo kunawa mikono na maji safi na sabuni ni muhimu baada ya matumizi.

b. Huweza kuacha uchafu kwenye shuka kwa kiasi kidogo. Hivyo wakati wa kulala tumia kofia ya kulalia au osha nywele kabla ya kulala.

Asanteni sana.
Karibuni tupendeze
Tuonee picha ya nywele zako utu convince sisi wengine wenye kipilipili......
 
Mkuu jamaa kaponda sana. Naona alipewa mafuta feki. Tumia haya mafuta utakuja kunishukuru.
Yana hasara nyingi kuliko faida hadi hapo hayafai
Haha
Ulale na kofia demu ukiachana nae anakutangaza we shoga
Haha haha hahaha mkuu umenichekesha sana. Mbona kuna kofia safi sana za kulalia kwa wanaume. Anyway kama hupendi kofia osha nywele zako vizuri Kisha pata usingizi mwanana.
 
Tuonee picha ya nywele zako utu convince sisi wengine wenye kipilipili......
Hahaha haha hahha. Mkuu Haina haha ya mimi kuonesha nywele zangu humu. But zipo vema sana. Mafuta haya yataleta muonekano na mvuto mzuri kwa nywele zako za kipilipili. Ndani ya wiki moja utaanza kuona mabadiliko na baada ya mwezi utakuja kunishukuru
 
Asa
Huu mwandiko wa jamaa kama una ukakasi hivi, kupata usingizi mwanana,mara muunekano na mvuto,kuna ukakasi kidogo,Tafuta hela broo nywele zitangara zenyewe bila mafuta,Kwanza mafuta yanauzwa afu tatu mh
Asante
Huu mwandiko wa jamaa kama una ukakasi hivi, kupata usingizi mwanana,mara muunekano na mvuto,kuna ukakasi kidogo,Tafuta hela broo nywele zitangara zenyewe bila mafuta,Kwanza mafuta yanauzwa afu tatu mh
Asante mkuu. Nitajitahidi kutafuta hela. Pia mkuu sio wote tunatumia mafuta ya elfu 40. Wengine hadi mafuta ya jero tunatumia.
 
View attachment 3094976
Ndugu zangu natumai mko salama kabisa.

Matumizi

a. Baada ya kuoga/kuosha nywele paka mafuta yako kwa kutumia mkono.

b. Pia unaweza kupaka mafuta haya hata kama hujaosha nywele/kwa nywele kavu.

c. Paka Mara moja tu kwa siku. Na tumia kiasi kidogo sana kwani mafuta haya yanakolea sana na kwa haraka.

Ubora

a. Kufanya nywele kuwa nyeusi ti ndani ya mwezi mmoja.

b. Kufanya nywele kumeremeta na kunawiri.

c. Kuongeza kasi ya kukua kwa nywele.

d. Inasaidia kupunguza na pia kutokuonesha mvi.

e. Hairabu nywele kama super black. Hapa utasahau kabisa matumizi ya super black.

f. Bei yake ni affirdable)/ipo chini. Kopo dogo linauzwa kuanzia elfu tatu.

g. Unaweza kutumia pamoja na mafuta mengine hasa ya nywele ya mgando au mafuta ya maji/nazi.

Changamoto

a. Huacha mabaki madogo madogo katika mikono baada ya kutumia. Hivyo kunawa mikono na maji safi na sabuni ni muhimu baada ya matumizi.

b. Huweza kuacha uchafu kwenye shuka kwa kiasi kidogo. Hivyo wakati wa kulala tumia kofia ya kulalia au osha nywele kabla ya kulala.

Asanteni sana.
Karibuni tupendeze
Kitu kimoja umearibu kutangaza bidhaa yako kuwa inakuuza nywele haraka sana hivyo sio suitable kwa wote wale wasio penda nywele
 
Kitu kimoja umearibu kutangaza bidhaa yako kuwa inakuuza nywele haraka sana hivyo sio suitable kwa wote wale wasio penda nywele
Asante kwa kunielewesha mkuu. Kumbe ndio maana wadau waanaonekana kuuliza sana. Ila Mimi siuzi hayo mafuta ni ushauri tu nilikuwa nawapa watu wenye haja ya kutunza nywele. But kumbe uwasilishaji wangu umeonekana kama natangaza biashara. Nimeewa mkuu.
 
View attachment 3094976
Ndugu zangu natumai mko salama kabisa.

Matumizi

a. Baada ya kuoga/kuosha nywele paka mafuta yako kwa kutumia mkono.

b. Pia unaweza kupaka mafuta haya hata kama hujaosha nywele/kwa nywele kavu.

c. Paka Mara moja tu kwa siku. Na tumia kiasi kidogo sana kwani mafuta haya yanakolea sana na kwa haraka.

Ubora

a. Kufanya nywele kuwa nyeusi ti ndani ya mwezi mmoja.

b. Kufanya nywele kumeremeta na kunawiri.

c. Kuongeza kasi ya kukua kwa nywele.

d. Inasaidia kupunguza na pia kutokuonesha mvi.

e. Hairabu nywele kama super black. Hapa utasahau kabisa matumizi ya super black.

f. Bei yake ni affirdable)/ipo chini. Kopo dogo linauzwa kuanzia elfu tatu.

g. Unaweza kutumia pamoja na mafuta mengine hasa ya nywele ya mgando au mafuta ya maji/nazi.

Changamoto

a. Huacha mabaki madogo madogo katika mikono baada ya kutumia. Hivyo kunawa mikono na maji safi na sabuni ni muhimu baada ya matumizi.

b. Huweza kuacha uchafu kwenye shuka kwa kiasi kidogo. Hivyo wakati wa kulala tumia kofia ya kulalia au osha nywele kabla ya kulala.

Asanteni sana.
Karibuni tupendeze
Sisi wenye vipara tulie tuu!
 
Afya, ngozi nzuri, Uchangamfu na Utanashati vinategemea Genes/Vinasaba na Aina ya Vyakula na Maji.

Vingine vyoooote ni Mbwembwe

Samahani sio kwamba nakuharibia market ndugu yangu ila nimefunguka ukweli
 
Back
Top Bottom