The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Mleta mada wala hatangazi biashara ni watanzania wameanza kumlewa jamaa vibaya.
Ishu ya kuchafua mashuka na mashati hata black shine na super black ni kiboko ya kuchafua....zingatieni usafi kwa kila kitu.
Ishu ya bei sio case sana kwa superblack shingapi au black shine???
Kama mwanaume huna unachokijua kuhusu unadhifu dont judge??? Pita kama huna fantasy.
Ishu ya kuchafua mashuka na mashati hata black shine na super black ni kiboko ya kuchafua....zingatieni usafi kwa kila kitu.
Ishu ya bei sio case sana kwa superblack shingapi au black shine???
Kama mwanaume huna unachokijua kuhusu unadhifu dont judge??? Pita kama huna fantasy.