Mwanaume smart &Busy lazima use nacho hiki kifaa

Mwanaume smart &Busy lazima use nacho hiki kifaa

Mwanaume smart ni kufanya mazoezi tu ya kutosha kila wakati ili kuondokana na hayo madude yote uliyoyaorodhesha hapo. Sio kuanza kutembea na hivyo vifaa artificial. Mwanaume smart sio mvivu. Labda tu uwe unatangaza biashara
 
Yaani nguvu si zipo nimeumbwa nafanya kazi kawaida. Ni sawa uanze kuwekeza your mental energy ya kuwa nahitaji nguvu za macho nione mbali zaidi ,ama nione vitu vidogo mno ama nguvu ya sikio ili nisikiie sauti ambazo zipo out of normal sound wave range.
Sasa yaani unazitafutia wapi so ulivyoumbwa si tayari uumbaji umekamilika ama mpaka ujiwekee kope fake ili ndio uone kuwa umeumbika sahihi.
Mie nashauri tuwekeze kwenye nguvu za kichwani
😳Mkuu umeoa? Wajukuu unawapataje kama nguvu za kiume Hazina maana kwako.😂😂
 
Yaani nguvu si zipo nimeumbwa nafanya kazi kawaida. Ni sawa uanze kuwekeza your mental energy ya kuwa nahitaji nguvu za macho nione mbali zaidi ,ama nione vitu vidogo mno ama nguvu ya sikio ili nisikiie sauti ambazo zipo out of normal sound wave range.
Sasa yaani unazitafutia wapi so ulivyoumbwa si tayari uumbaji umekamilika ama mpaka ujiwekee kope fake ili ndio uone kuwa umeumbika sahihi.
Mie nashauri tuwekeze kwenye nguvu za kichwani
Ni vema kama unazo ila Kuna baadhi Wana changamoto pia za nguvu za kiume, mshukuru sana Mungu Kwa kukupa afya njema.

Ushauri wako wa kuwekeza kwenye nguvu za kichwani tumeupokea mkuu
 
Mwanaume smart ni kufanya mazoezi tu ya kutosha kila wakati ili kuondokana na hayo madude yote uliyoyaorodhesha hapo. Sio kuanza kutembea na hivyo vifaa artificial. Mwanaume smart sio mvivu. Labda tu uwe unatangaza biashara
Ni kweli mkuu, mazoezi ni kitu muhimu sana ila Kwa Dunia ya Leo ya utafutaji, kupata muda wa kufanya mazoezi ni changamoto hivyo Kifaa hicho kinarahisisha ufanyaji wa mazoezi.
 
Wewe acha kuzunguka.
Sema tu bei ya kifaa hicho.
Sisi ambao hatufagilii mazoezi hata urembe vipi hatununui.
 
Back
Top Bottom