Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi ntakupata....Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu ,wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Saa kusoma majira.Unamaanisha mtu awe muelewa au avae takataka mkononi?Saa isome tu majira
Ndio saa hizo hizo nazungumzia.Umeelewa vibaya namaanisha saa za mkononi
[emoji2][emoji2][emoji2] mkuu kwanni isiyosoma majira wanakukera hvyo??Saa isome tu majira