Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hongera
Hongera tu haitoshi mama you most be close with me
English yangu broken so nivumilie au nahilo utaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera
Wadada wa siku hizi ndo mana kuolewa imekua ndoto.Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Saa kusoma majira.Unamaanisha mtu awe muelewa au avae takataka mkononi?
Sure sijui watu hawa hua wanawaza nini, kwamba anavaa kifaa cha kuonyesha muda na hakifanyi kazi hapa inadokeza mengi kuhusu mvaaji show off, mshamba, limbukeni, fukara nk.Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
utatongozwa bwege wewe.unaringia uzuri? jiangalie wewe.Je akiwa na SMARTWATCH kama mimi af handsome balaa na vipesa ninavyo kimtindo
Sasa kama ilisimama bila yeye kufahamu na ikatokea mmekutana akaanza kukupiga vocal bado utamkataa? Masharti kama babu wa ChumbeHello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Saa hii ya mkononi au ni tafsida?Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
njoo pm maramoja utarudi kuendelea.kuna inshu muhimu.Hongera
sawa nini Sasa?Sawa.....
[emoji2][emoji2][emoji2] Dunia haishiwi maajabu.Mi mwanaume asiye na vinyweleo mwilini hata vya kuzugia ....hapana
Mwingine huyu[emoji1] mnachagua sana madamMi mwanaume asiye na vinyweleo mwilini hata vya kuzugia ....hapana