Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ni saa hii tunayoijua wote au huko kusoma you mean mshale haiVizuri,sio umevaa umependeza halafu saa mkononi haisomi majira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni saa hii tunayoijua wote au huko kusoma you mean mshale haiVizuri,sio umevaa umependeza halafu saa mkononi haisomi majira
Flora whom one dear🤔🤔Msa
Msalimie Flora
Daaa naomba Mungu mke wangu asiwaze kama weweMi mwanaume asiye na vinyweleo mwilini hata vya kuzugia ....hapana
[emoji2][emoji2][emoji2]Daaa naomba Mungu mke wangu asiwaze kama wewe
Umenikumbusha mbali sana😄😄Yangu inaenda na radio kabisa..
Unayemjua wewe aliyebadili id😅😅Flora whom one dear🤔🤔
Una umri gani? Zamani kidogo miaka ya 1980 .... babu zako walizivaa sana, tena kuna zinazoenda pole pole lakini mwenye nayo anaijulia. Ukimuuliza muda ataangalia na atakupa muda kamili. Sasa ukosee uichungulie utasoma majira sio ama imekimbia au ipo nyuma. Halafu kila jioni lazima zichochewe yaani kila 24 hrs. Hizi ni za mshale sio digital.Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
[emoji3][emoji3][emoji3]Saa zangu zinasoma majira uko wapi nikuoneshe ukuu wa Mungu.