Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
mimi demu mwenye wigi halafu linatoa harufu mbaya, hata awe mzuri vipi, baada ya "kumalizananae", lazima nimkimbie. simrudii tena

nipo very allergic na harufu mbaya za mawigi.
 
Simu yangu ina saa so saa ya Mkononi imegeuka kuwa kama bangili Kwetu wanaume. Tupo bize kutafuta hela ila kama umemanisha saa ni dushelele una haki ya kuwakataa kwa sababu umefata raha
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Kesho nawahi kuweka kimeo changu betri
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Kuvaa saa ya mkononi isiyosoma majira inabeba tafsiri nyingi sana.. bora sisi tusiovaa kabisa
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni

Mwanamke akiwa na vipaumbele vya hovyo kama vyako hata kama ana uzuri gani, amenikosa
 
Ni kitu kidg ila kinakata stim mda mwingine
Upo na mdada unaona ana saa mkononi una muuliza mda ananyanyua mkono alafu anasema saa mbovu
Ukivuta mkono kuichek unakuta kisaa kina mshale mmoja ndani 😆🚮
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Uchi wenyewe unao!?..mnato au ndiyo mpaka nichungulie Kama imo ndani au laa!?..Ina joto!?
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Nilivyosoma tittle nikajua unachukia mwenye mkono wa sweta,
 
[emoji23][emoji23] hii ni kali bila muwasho.
 
Saa kutoonesha majira imekuwa nongwa hadi uzi...

Kwani wewe refa?
 
Back
Top Bottom