Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu ,wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Ahaaa kumbe ni kuhusu jogoo aka mashine kukwea mtumbwi...

Lkn mkuu umetumia tafsda ngumu kweli maana wanaume wengine saa ni simu zetu...got no time kuvaa saa.

Mabishoo wavaa saa ukiwataka utawapata.

Saa twavaa kwenye sherehe na matukio nk
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Vipi na mimi nisiyevaa hiyo saa ya mkononi! Na badala yake natumia tu saa ya kwenye simu! Nitakupata?
 
Hawa ndiyo wanawake.Saa tu inamkosesha mtu utamu.
IMG_20230131_191146.jpg


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
You're such a cheap going woman.

Kwahiyo wewe thamani yako ni saa tu inayosoma majira na unapanua mapaja?

Ama kweli wanawake hamjui mnachokitaka na mwalimu wenu ni kipofu.
Si ni kama baadhi ya wanaume wanaodai mwanamke akivaa kikuku, au kipini puani wanaishiwa hamu. Na yeye hataki wanaovaa saa makopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom