Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Unamaanisha kwamba unakazi maalum na wanaume ma handsome?
Maana yake handsome asie vaa SAA mbovu unampa huduma? Hongera kwa kuwa muwazi
 
Saa zangu zote hazioneshi Majira na sijali wala nini[emoji851]
Wakuta Mtu anakuja "samahani dada saa ngapi" naangalia saa yangu ya mkononi kisha namjibu "itakua saa nane" wakati huo ni saa 5, basi anashtuka utaona anatafuta simu yake anaangalia saa halafu ananiangalia tena yuleee anaondoka.
 
Hii yangu ina rekodi hadi mzunguko wa siku zako kabisa(mp) ni smart
 
Mwanamke mwenye nywele za kuvaa na kuvua, . Asinisogelee kabisa sitaki usanii na uongo
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.

Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Umeona wapi mwanaume akutokee halafu mshale wa saa hauoneshi majira?
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.

Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Me nimekuelewa unachopitia. Ni tatizo ambalo linatokana na associated fear au phobia. Yaani umehusisha swala la mwanaume kutokuwa makini na saa yake ya mkononi kwanza ile kuvaa saa mbovu imekufanya uwazie pengine jamaa hayupo sawa kichwani anvaa vipi saa mbovu ambayo haisomi majira si ni sawa na mtoto anayeokota kopo na kuigiza ni bunduki au simu it means hajakua.

Pili inakuletea hisia kuwa jamaa hayupo serious na muda kama anaweza vaa saa isiyosoma majira sawa sawa sasa anatazamaje muda na anawezaje kuuzingatia. Na kama hayupo makini na muda it means hayupo serious na matumizi ya muda anapenda kuchezea muda. Na kama anachezea muda wake basi hata muda wako hatauthamini hata kidogo.

Tatu, inakupa picha ya mwanaume ambaye ni scraps collector. Watu wa namna hii wapo na hii tabia huwa isipokemewa utotoni mtu hukua nayo na mkewe ndie huja kuteseka. Akiona mtu anataka kutupa redio, tv au friji mbovu basi yeye ataomba achukue akatengeneze ili atumie ila si kwamba huyu mtu hawezi mudu kununua tv, radio au friji yake ila basi tu ni kwasababu alishatengeneza tabia ya kuokoteza makolokolo na kukaa nayo. Akiskia mtu simu imevunjika kioo anataka kuidispose yeye ataomba aitumie hivyo hivyo yaani kwakifupi ni watu wanapenda kuwa collector wa makopo.

Nne, inakupa picha ya mwanaume ambaye hajijali so hatawez akukujali. Kama yeye anavaa saa mbovu isiyokwenda sawa na majira je wewe ataweza kukunulia saa nzuri ya thamani ambayo ukivaa wanawake wenzako watakuonea gere.

Kwahiyo kwa analysis ndogo tu nimekufungulia fikra na kukujibu hilo eneo la "sijui kwann". Kimsingi kaa nae chini na umuhoji na kumuelekeza na kumtazama kama anarekebika. Kama hamjaazan kuishi pamoja nadhani ni muda mzuri sasa wakutazama options zako vizuri ili uweze kujua unadeal na mtu wa standards zako au below your standards.

Na hii ndio changamoto za malezi kuna tabia ambazo wazazi huchukulia poa kwa watoto wao ila hizi tabia huzaa changamoto za kimahusiano kwa hawa watoto wao wanapokutana na watoto wawatu wengine. Wazazi tuwe makini na malezi.
 
Y
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.

Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Yaani wanawake hamueleweki mnataka nini!
Yaani uko tayari kundinywa kisa saa ya mkononi inafanya kazi.🙆🤣🙈
Ila mnatupa kazi wanaume. Maana tunapotafuta ufumbuzi juu ya kuikalia na mbuzi kagoma, mnaleta mahitaji mapya.

Kwani Nakadori na To yeye wanasemaje?
financial services njoo huku tafadhali.
 
Mwanamke mwenye nywele za kuvaa na kuvua, . Asinisogelee kabisa sitaki usanii na uongo
Akishonea au kugandisha na gundi maalumu vipi?
Nadhani unamaanisha nywele bandia.

Iwe kwa hali yoyote ile zinavyotundikwa kichwani, siyo sahihi, ni kumkosoa MUNGU.
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.

Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Na sisi tusiovaa saa tuna nafasi gani kwako?
2. Inaonyesha wewe ni wa gharama sana na una viwango vyako sio?😁
 
Me nimekuelewa unachopitia. Ni tatizo ambalo linatokana na associated fear au phobia. Yaani umehusisha swala la mwanaume kutokuwa makini na saa yake ya mkononi kwanza ile kuvaa saa mbovu imekufanya uwazie pengine jamaa hayupo sawa kichwani anvaa vipi saa mbovu ambayo haisomi majira si ni sawa na mtoto anayeokota kopo na kuigiza ni bunduki au simu it means hajakua.

Pili inakuletea hisia kuwa jamaa hayupo serious na muda kama anaweza vaa saa isiyosoma majira sawa sawa sasa anatazamaje muda na anawezaje kuuzingatia. Na kama hayupo makini na muda it means hayupo serious na matumizi ya muda anapenda kuchezea muda. Na kama anachezea muda wake basi hata muda wako hatauthamini hata kidogo.

Tatu, inakupa picha ya mwanaume ambaye ni scraps collector. Watu wa namna hii wapo na hii tabia huwa isipokemewa utotoni mtu hukua nayo na mkewe ndie huja kuteseka. Akiona mtu anataka kutupa redio, tv au friji mbovu basi yeye ataomba achukue akatengeneze ili atumie ila si kwamba huyu mtu hawezi mudu kununua tv, radio au friji yake ila basi tu ni kwasababu alishatengeneza tabia ya kuokoteza makolokolo na kukaa nayo. Akiskia mtu simu imevunjika kioo anataka kuidispose yeye ataomba aitumie hivyo hivyo yaani kwakifupi ni watu wanapenda kuwa collector wa makopo.

Nne, inakupa picha ya mwanaume ambaye hajijali so hatawez akukujali. Kama yeye anavaa saa mbovu isiyokwenda sawa na majira je wewe ataweza kukunulia saa nzuri ya thamani ambayo ukivaa wanawake wenzako watakuonea gere.

Kwahiyo kwa analysis ndogo tu nimekufungulia fikra na kukujibu hilo eneo la "sijui kwann". Kimsingi kaa nae chini na umuhoji na kumuelekeza na kumtazama kama anarekebika. Kama hamjaazan kuishi pamoja nadhani ni muda mzuri sasa wakutazama options zako vizuri ili uweze kujua unadeal na mtu wa standards zako au below your standards.

Na hii ndio changamoto za malezi kuna tabia ambazo wazazi huchukulia poa kwa watoto wao ila hizi tabia huzaa changamoto za kimahusiano kwa hawa watoto wao wanapokutana na watoto wawatu wengine. Wazazi tuwe makini na malezi.
Umemtolea analysis nzuri kwa kadiri ya uwezo wako.

Lakini ungemtaka kukujulisha Ni wanaume wangapi amekutana nao ambao saa zao hazisomi muda? Isije ikawa kwa bahati mbaya alikutana na mtu wake ambaye alimpenda kwa siku hiyo na pengine siku na wakati hio either betri ya saa iliisha nguvu na kusababidha saa kusimama au utumbo ulisitisha kunyumbuka kwa kusahau kujaza ufunguo. Yote mawili yanawezekana. Na katika hayo, haina haja ya makasiriko bali ni kukumbusha na kumshauri. Lakini eti "hanipati"
 
Mkiishi Kwa Roho enendeni Kwa Roho kamwe hamtazotimiza tamaa zenu za mwili.

Kizazi hiki ni kizazi Cha zinaa.
Kizazi Cha nyoka Hakiwezi kukimbia hukumu ya Mungu inayokuja.

Watu wanawapenda watu Kwa harufu ya marashi TU badala ya utu wa mtu ,hekima,maarifa,upendo wa kimungu,upole,wema, na kumcha Mungu.
Kizazi Cha zinaa hakitapita kabla ya Kufunuliwa kwake mpinga Kristo na nyakati zilizotabiriwa.
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.

Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
Wengine hatuvai kabisa,hapo vipi🤔
 
Me nimekuelewa unachopitia. Ni tatizo ambalo linatokana na associated fear au phobia. Yaani umehusisha swala la mwanaume kutokuwa makini na saa yake ya mkononi kwanza ile kuvaa saa mbovu imekufanya uwazie pengine jamaa hayupo sawa kichwani anvaa vipi saa mbovu ambayo haisomi majira si ni sawa na mtoto anayeokota kopo na kuigiza ni bunduki au simu it means hajakua.

Pili inakuletea hisia kuwa jamaa hayupo serious na muda kama anaweza vaa saa isiyosoma majira sawa sawa sasa anatazamaje muda na anawezaje kuuzingatia. Na kama hayupo makini na muda it means hayupo serious na matumizi ya muda anapenda kuchezea muda. Na kama anachezea muda wake basi hata muda wako hatauthamini hata kidogo.

Tatu, inakupa picha ya mwanaume ambaye ni scraps collector. Watu wa namna hii wapo na hii tabia huwa isipokemewa utotoni mtu hukua nayo na mkewe ndie huja kuteseka. Akiona mtu anataka kutupa redio, tv au friji mbovu basi yeye ataomba achukue akatengeneze ili atumie ila si kwamba huyu mtu hawezi mudu kununua tv, radio au friji yake ila basi tu ni kwasababu alishatengeneza tabia ya kuokoteza makolokolo na kukaa nayo. Akiskia mtu simu imevunjika kioo anataka kuidispose yeye ataomba aitumie hivyo hivyo yaani kwakifupi ni watu wanapenda kuwa collector wa makopo.

Nne, inakupa picha ya mwanaume ambaye hajijali so hatawez akukujali. Kama yeye anavaa saa mbovu isiyokwenda sawa na majira je wewe ataweza kukunulia saa nzuri ya thamani ambayo ukivaa wanawake wenzako watakuonea gere.

Kwahiyo kwa analysis ndogo tu nimekufungulia fikra na kukujibu hilo eneo la "sijui kwann". Kimsingi kaa nae chini na umuhoji na kumuelekeza na kumtazama kama anarekebika. Kama hamjaazan kuishi pamoja nadhani ni muda mzuri sasa wakutazama options zako vizuri ili uweze kujua unadeal na mtu wa standards zako au below your standards.

Na hii ndio changamoto za malezi kuna tabia ambazo wazazi huchukulia poa kwa watoto wao ila hizi tabia huzaa changamoto za kimahusiano kwa hawa watoto wao wanapokutana na watoto wawatu wengine. Wazazi tuwe makini na malezi.

Umenielewa
 
Back
Top Bottom