Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Mwanaume ukiwa na kitu hiki hata kama handsome umenikosa

Saa, cheni, culture, kofia ama urembo wa aina yoyote mimi umenishinda kabisa achia mbali wallet! Nilijaribu kukaa na wallet hahaha tangu nilipo inunua sijawahi ifungua mpaka siku nikajisemea ngoja niifungue niwe viela leo nione hahaha naifungua ndio ina chanika kwa uchakavu na kukauka

Pole mkuu vitu vingine ni mazoea na sio mbaya kutokua navyo
 
Hello,

Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.

Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee

Badilikeni
njoo kwangu basi ya kwangu inasoma
 
Back
Top Bottom