Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mbona wenye hivyo vyote tena na zaidi.Sasa mbona hao ni watu watatu tofauti
Nishapishana na gari la mshahara hivi hivi[emoji849][emoji850] Hapana Kwa kweli
Hapo vipi?Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.
Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Hapo vipi? Kifua hicho...[emoji2]Mi mwanaume asiye na vinyweleo mwilini hata vya kuzugia ....hapana
Wapo lakin ni nadra kupatikana
Lugha ya picha hii ila wengi wanazan saa kweliHello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.
Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Sure sijui watu hawa hua wanawaza nini, kwamba anavaa kifaa cha kuonyesha muda na hakifanyi kazi hapa inadokeza mengi kuhusu mvaaji show off, mshamba, limbukeni, fukara nk.
Lakini pia na wewe nini kinakufanya uone unafaa "kupatwa" kwamba atakukosa. Hii inadokeza pia jinsi wanawake wengi hua wanajipa thamani ambayo hawana.
charrote Kama hauna nywele za singa, huna chura, sauti kama ya mjomba wako, kafupi nyundo, huna sexy lips, huna ngozi nyororo mololo, huna jicho la mahaba, macho kama mlinzi kama hata kigezo kimoja kimepungua nini kinakufanya uone unafaa kupatwa.
Yani unataka mwanaume anaevaa Rolex, Tissot, Cerruti, Orient akufate ashura ndara ndefu sura kama ya mwanaume, huna chura, vinywele kipilipili ?! Hebu kua serious. Hao wenye saa mbovu Seiko 1996 ndio daraja lako.
Tunapo taja vigezo vya wanaume tuwe pia tunataja vigezo na sifa za wanawake. Kuna kamwanamke nilikakuta ofisi fulani nilikwenda kupata huduma fulani wakawa wanapiga story wanawake watatu kakawa kanajigamba na wenzake ati "mimi mwanaume hana mahari ya 10 million sina muda nae. Kamwanamke kenyewe kabayaaaaa yani hata huwezi kukapa salamu.
View attachment 2501658
unaktuta ka charrote kenyewe ndio kama haka.
Kama saa ikiwa inachelewa dakika mbili nyuma anakupata?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app