Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Babe....Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.
Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Achana na hao wenye saa mbovu, mimi sivai na sina saa kabisaa....👐