ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,152 Reaction score 33,899 Feb 28, 2023 #261 charrote said: Hello, Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee Badilikeni Click to expand... Huenda umetutega 'saa haisomi majira' labda kama ni jogoo haliwiki. Maana kujua mtu amevaa saa ya bandia ni kazi sana
charrote said: Hello, Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee Badilikeni Click to expand... Huenda umetutega 'saa haisomi majira' labda kama ni jogoo haliwiki. Maana kujua mtu amevaa saa ya bandia ni kazi sana
Smart AJ JF-Expert Member Joined Mar 21, 2022 Posts 5,564 Reaction score 5,884 Mar 4, 2023 #262 Sa utaonaje?mfano niko mbali utanifata uje uangalie tu kama inasoma?