Mwanaume uliumbiwa kutoa

Yes,ndio mapigo yetu tuliyopewa Tena tumepewa na hedhi Kwa mwezi sio kazi rahisi ni ngumu ,kama zenu mliambiwa mtatunza familia na kutafuta Kwa jasho,ili siye tuje tule na kuendelea kuzaa.
Aisee, kama unaamini, majukumu yako kama mwanamke ni kuzaa na kula tu, basi safari bado ni ndefu. Ngoja niendelee kusubiria subiria zaidi
 
Sawa ukiwa na haja wajulishe ili waangalie chakufanya sio umchezee mtoto wawatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…