Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, kama unaamini, majukumu yako kama mwanamke ni kuzaa na kula tu, basi safari bado ni ndefu. Ngoja niendelee kusubiria subiria zaidiYes,ndio mapigo yetu tuliyopewa Tena tumepewa na hedhi Kwa mwezi sio kazi rahisi ni ngumu ,kama zenu mliambiwa mtatunza familia na kutafuta Kwa jasho,ili siye tuje tule na kuendelea kuzaa.
Na wapo mstari wa mbele kutaka 50/50Aisee, kama unaamini, majukumu yako kama mwanamke ni kuzaa na kula tu, basi safari bado ni ndefu. Ngoja niendelee kusubiria subiria zaidi
Kumbe ana Motives na makasiriko yake🤣🤣🤣Tokea yule mwamba akuombe tigo huko PM, umekuwa na hasira na wanaume wote. 😅😅😅
Quote hapo nilipokosea!Haraka Kilimbatz nitake radhi
Kwann wakuombe wewe tu? 😅Akija mwingine tena na mwanika hapa
Oh Yeah!hela zote
Ndio mkuu, kuna njemba ilienda pm ikamuomba donati 😅Kumbe ana Motives na makasiriko yake🤣🤣🤣
50/50 kwenye maandiko haipo, ila wanaikomalia sana. Linapokuja swala la utafutaji, hao wanakimbilia kurefer maandiko 😅Na wapo mstari wa mbele kutaka 50/50
Mwanzo 1 :16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.Kale kwenu
Vichaa watatuzalia
Sawa ukiwa na haja wajulishe ili waangalie chakufanya sio umchezee mtoto wawatuKwani
Sina matumizi binafsi?
Sina ndugu wa kuwasaidia?
Sina wazazi wa kuwatunza?
Sina watoto wa kuwamsomesha?
Sina marafiki wa kula nao Bata?
Kwa mlolongo wa majukumu hapo juu sijaiona nafasa ya mwanamke.
Otherwise unambie unazungumzia wanawake in general,
kwamba
mabinti zangu-wanawake
Mama yangu-mwanamke
MKE wangu-mwanamke
Marafiki zangu wa kike-wanawake
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha basi 🤣🤣Sasa tafuta mmoja akutunze. Tatizo lako unataka utunzwe na kila mwanaume 😅😅😅
Atoe tu mzigo. kama anataka hela za jamaa 🤣 🤣 🤣Ndio mkuu, kuna njemba ilienda pm ikamuomba donati 😅
Hujaquote nilipokukoseaMwanzo 1 :16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Hajasema tuwape hela
ShindwaSikutoi mpaka nikukande nione kama maajabu yapo