Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Chura ipo au umekuja hapa kutuhadhaa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah! Mimi nina watoto wawili, naomba nikuletee umuue mmoja na umchukue mmoja ili tuendeleee mbele mpnz!!!! Mapenzi matamu kuliko kitu chochote....asikwambie mtu!Habari zenu,
naishi kusini mwa Tanzania, natafuta mpenzi ambaye baadae MUNGU ikimpendeza anaweza kuwa mume wangu.
Nina uhitaji sana sana soma wasifu wako na wangu ukiona unaendana karibu.
WASIFU WANGU
Nina umri wa miaka 26.
Elimu yangu ni diploma
Sina mtoto.
Rangi maji ya kunde.
Ni mrefu sio sana
Sina chura #flat.
Mimi ni mkristo Anglican
WASIFU WAKE
Awe mkrito
Sichagui kabila
Awe mwaminifu na mkweli.
Asiwe na majivuno na majigambo.
Asiwe na mke.
Akiwa na mtoto asizidi mmoja.
Asivute sigara
Asiwe mlevi
Elimu anizidi Mimi.
Umri kuanzia 29-35
Awe ameajiriwa hata kujiajiri .
Mwepesi kutoa maamuzi.
SIFA ZINGINE TUTAPEANA PM KARIBU
PM kwa mazungumzo zaidi.
Hahahaha watu mna maneno.Mmmh! Huna hata chura unahitaji mwenye degree, ajira, asiyevuta sigara, pombe, vigezo vingi balaa, Wanawake ni wengi ujue, Endeleeni na vigezo mtajioa
Kuna wanawake humu bado wanaishi kwa illusions, hivi huyo angekuwa na chura masharti yangekuwa km ya Mkopo wa World Bank, Kuna mmoja humu aliwahi kuandika vigezo vyake anataka mwanaume mwenye mashine iliyonyoka km 1 hahaaa, vigezo Vngn bhanaHahahaha watu mna maneno.
Kwa hiyo kama hana chura hatakiwi kuwa na vigezo vingi?
Wewe bado upo kama mimi... [emoji16][emoji16]Mapenzi yana exist popote ulipoo..tembea tembea utapata...usipate stress we bado mdogo
Zilipendwa huyo..! Ivuga ana dollar za zimbabwe. Ujambo lakini.Wangu si unamjua miaka nenda rudi
Saint Ivuga
Uyo ni zilipendwa na zitaendelea kupendwa na ubahili wake me hoi..sijambo za kuadimikaaa?Zilipendwa huyo..! Ivuga ana dollar za zimbabwe. Ujambo lakini.