Mwanaume uliye tayari kumpata mchumba njoo usome hapa

Mwanaume uliye tayari kumpata mchumba njoo usome hapa

Dah umri huu unanikosesha 'mtoto' hivi hivi.....!
 
Habari zenu,

naishi kusini mwa Tanzania, natafuta mpenzi ambaye baadae MUNGU ikimpendeza anaweza kuwa mume wangu.
Nina uhitaji sana sana soma wasifu wako na wangu ukiona unaendana karibu.

WASIFU WANGU
Nina umri wa miaka 26.
Elimu yangu ni diploma
Sina mtoto.
Rangi maji ya kunde.
Ni mrefu sio sana
Sina chura #flat.
Mimi ni mkristo Anglican


WASIFU WAKE
Awe mkrito
Sichagui kabila
Awe mwaminifu na mkweli.
Asiwe na majivuno na majigambo.
Asiwe na mke.
Akiwa na mtoto asizidi mmoja.
Asivute sigara
Asiwe mlevi
Elimu anizidi Mimi.
Umri kuanzia 29-35
Awe ameajiriwa hata kujiajiri .
Mwepesi kutoa maamuzi.
SIFA ZINGINE TUTAPEANA PM KARIBU


PM kwa mazungumzo zaidi.
Daaaah! Mimi nina watoto wawili, naomba nikuletee umuue mmoja na umchukue mmoja ili tuendeleee mbele mpnz!!!! Mapenzi matamu kuliko kitu chochote....asikwambie mtu!
 
Hahahaha watu mna maneno.
Kwa hiyo kama hana chura hatakiwi kuwa na vigezo vingi?
Kuna wanawake humu bado wanaishi kwa illusions, hivi huyo angekuwa na chura masharti yangekuwa km ya Mkopo wa World Bank, Kuna mmoja humu aliwahi kuandika vigezo vyake anataka mwanaume mwenye mashine iliyonyoka km 1 hahaaa, vigezo Vngn bhana
 
Finally leo nimedondokea kwenye umri [emoji5][emoji5][emoji5]
Nakuja soon "future ex wife" [emoji6]
 
Mapenzi yana exist popote ulipoo..tembea tembea utapata...usipate stress we bado mdogo
 
Sasa we Huna chura upo flat kama Motorola bapa nan atakuoa humu? yaan Wew hata salamu yangu hutakiwi kuipata
 
Back
Top Bottom