Mwanaume uliye tayari kumpata mchumba njoo usome hapa

Njoo pm tafadhali,tuyajenge ya kiutu-uzima.
Its all about life and economy.

Karibu mamee.
 
Uyo ni zilipendwa na zitaendelea kupendwa na ubahili wake me hoi..sijambo za kuadimikaaa?
Nimeadimika wapi, unauliza mkundu wa nyau huku umeshikilia mkia wake..[emoji16][emoji16] mwambie Ivuga zama zake zimefikia mwisho.

Njoo makutano junction tufanye tukio la uasi, kumng'oa st. Ivuga, anajifanya UKAWA huku chama dume/ccm kimeingia mtaani kwake na wewe kaa UKAWA ufe njaa.
 
Duuh yaan naona vigezo ving sna nimevikiuka

Sasa sjui nifanyeje
 
Aloishia Lasaba lkn Anapesa za kukupa unachotaka??

Ifike mahali ,Msiingize elimu ktk masuala ya msingi km haya.

Wewe unaolewa na Elimu au unataka mke??

Mimi nitakapooa , Kazi na elimu ya mwanamke ni vyake yeye na familia yake.
 
Maziwa bado saa sita yasije yakawa ndala harafu vigezo ukaweka vingi?
harafu mimi napenda #kikogwa hili nile na chumvi kama na wewe ni #kikogwa fasta nakuja PM
 



Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatzo kwenye elim hapo japo kweli wengine tunaitaji serious kutokana na maumivu tuliyoachiwa tunaona bora tuje mitandaoni lbda tutabahatika
 
Shida hamjibugi mkifuatwa PM.

Nimeishia kuwagonga wake za watu, kisa hamnijibu.
 
Mimi napenda kujigamba hivyo nimekosa sifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…