Hili guu ukiliona tu utalitamani lina bonge ya kiaziHahaha nioneshe mguu wako,mana huku kuna mashindano ya kuonesha milonjo
Daah mi mbavu zinauma jombaa nimecheka sana[emoji3][emoji3][emoji3]
Aisee acha kabisaJf raha sana
kanyagio kuuubwa wangekua ng'ombe kongoro zao zingeuzwa bei ghaliVilema vipo vya aina nyingi dada... wache waje wajionee kwato kama kibao cha kuzimia sigara,
umepotea, heri ya mwaka mpya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
kanyagio kuuubwa wangekua ng'ombe kongoro zao zingeuzwa bei ghali
Aisee acha kabisa
kanyagio kama bakuli anazipendea nini?Hahaha mbitiyaza mwenzio anazipenda
Hahaha mi wa kike ht nkiwa nao mlain haina kwere,ila hii miguu ya humu ni noma walahWewe huna? Au unanyoa na gundi!
kanyagio kama bakuli anazipendea nini?
Limejua kukomaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili guu ukiliona tu utalitamani lina bonge ya kiazi
Hahaha navaa suruali nzitonzito viote vingiSa mbona wataka kuanza kuvifuga,means siku zote unavinyoaga.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtaniua[emoji23][emoji23]kanyagio kuuubwa wangekua ng'ombe kongoro zao zingeuzwa bei ghali
Hahaha mi wa kike ht nkiwa nao mlain haina kwere,ila hii miguu ya humu ni noma walah
Kumbe unatetea kibarua chako.ahahha mie napenda zile kaptura za khaki !lol !napenda tu ! uzuri hubby anao mguu wa kaptura na hizo nguo ndo zake !sna shaka kwa hilo