Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Guu lingine hili mungu wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama dereva bodaboda
63ecd01ad555de31acd2768760ca4daa.jpg

Cc youngkato
 
hahaha wewe una wivu tu !binafsi mie huwa navutiwa kama mwanaume ana mguu wa pensi umepinda kidogo !awww!
Unaujua mguu wa kiume!!! Sio ile ya bia. Mgu wa kiume ule unatengenezwa na mazoezi kama una kigimbi fulani. Huo ndio unavutia. Sio ile ya bia imejazia mie inanikeraga tu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana huyu akipiga mpira badala uende mbele utapinda kulia utoke kabisa nje ya uwanja

Ndo matatizo umya nyama choma na bia [emoji81][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah hizi rim kiboko
Gupensi sasa!!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo sio kuvaa,anavaa wapi,wakati gani hiyo pens ndo kinachomata!
 
Dah....kuna wengine sura laini....akiwa dirishani unaweza kumtokea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
Mguu wa mwanaume lazima uwe umekomaa alafu uwe na kovu angalau moja au mbili, usikose nywele, nakuunga mkono mkuu


Hahaha!, leo mmeamua kutokeana wenyewe aseeh!, mara moja moja kama hivi mkipeana za uso si mbaya..lol!
 
Mwanaume kumchunguza mwenzio hadi kwenye miguu dah unapataje muda huo!Una pepo la kina James Delicious likemee kabla halijakutawala!
Mm ni mtaalamu wa psychology huyo jamaa aliyetoa mada ana genes za ki gay.. Na ana mihamko ya kimapenzi na wanaume wenzie huenda yeye hajajijua au tayari ana jijua. Hali hii ina mpa mihamko ya kihisia ya ngono kila aonapo wanaume wenye miguu ya aina hiyo..kwa kifupi msela ana stimulate kila akutanapo na mwnaume mwenye pensi na miguu laini na ndio maana anapay attentions zaidi kwao bila yeye kujijua..

Tuna makundi kadhaa kwenye jamii Biosexual, heterosexual., homosexual na Lesbians so huyu jamaa ni Biosexual weather amesha wahinkupractice it or not ajijue kupitia mm leo hii kuwa yeye n biosexual .. Aji control uwezo wake wa akili mapema otherwise he will end up practice it .
 
Back
Top Bottom