Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
![]()
Wakaka wa humu naona mnauanza mwaka kwa style, sio kwa kutuchekesha huku...LOL!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
![]()
Teh kawaida. Changamsha gengeWakaka wa humu naona mnauanza mwaka kwa style, sio kwa kutuchekesha huku...LOL!
hahahaaaaa![]()
We mwanaume kweli wa kukaa hivi.? Unajikunja kunja hivi kweli.? Asee umetudhalilisha sana boy
Ehe kausha mkuu[emoji1] [emoji1]Uwii!, mkuu hongera sana kwa GUU! [emoji15]
Mbavu zangu mweeh! [emoji23]
Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
[emoji23] [emoji23]
Mweeeeeh!! Kweli vyuma vimekaza.
mie men anayevaa kaptura nampenda jamanKaptula niliachana nayo tangu Na maliza primary. Sipendi na sitaki kuvaa kaptula.
[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unataka ukamfanye nn mwenzio?Samahani chief. Nyumbani Upo mwenyewe?
Kuna watu wana neema si mchezoo!!!!Ahahahaaaaaa sio kwa neema hizo, tufurahi jamani tupunguze stress
Unafaa kuufanyia nn?!Vipi mguu wangu huo unafaa?![]()
Kama huyo wa kwenye kochi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuna watu wana neema si mchezoo!!!!
Yaani acha tuu, sio kwa neema zile!!!Kama huyo wa kwenye kochi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda kwao mboga saba we kwenu mboga moja [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]