Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
AmenMungu ni mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenMungu ni mwema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilicheka sana aiseeHahahaha
Mie aliniua alipoamua kuuweka juu hapoo
nikimaliza kukutag nakupigia na simu kwa msisitizoUsiache kunitag ikitokea kwakweli.
Hahaa niedit vinyweleoHahaha
Utaedit bhana uweke vinyweleo
umeona maguu ya wanaume wa jf??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani mie nilicheka mpaka nkakaa chini... Hilo goti atakuwa alianguka aki!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilicheka sana aisee
NdioHahaa niedit vinyweleo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa mmoja akamuuliza eti ana gout?Yaani mie nilicheka mpaka nkakaa chini... Hilo goti atakuwa alianguka aki!!
Si utakuwa hoi sasa maana ulisema ndio ugonjwa wakoNdio
Au nitumie pm nkusaidie kuedit
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa mmoja akamuuliza eti ana gout?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha
Hurumia mbavu zangu jamani!!! Yaani naiangalia kila wakati!!! Mwenyewe kapandisha hadi suruali ili muone neema za Allah
Si umesema hauna au??? Za kuedit mmmhSi utakuwa hoi sasa maana ulisema ndio ugonjwa wako
[emoji23] [emoji23] Vipo vya kwa mbaliiSi umesema hauna au??? Za kuedit mmmh
Oooh[emoji23] [emoji23] Vipo vya kwa mbalii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hili guu noma nikilitupia hapa itakuwa shidaOooh
Hebu tupia hapa basi jamani
Umeeleza maneno mengi lakini bado hujajustify uhusiano uliopo kati ya miguu minene na ushoga.Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hili guu noma nikilitupia hapa itakuwa shida
Hahaha neema za allahHahaha
Neema za Allah hizo Mkuu!!! Tutaridisha sifa na utukufu kwake
Mweeeeeh!! Kweli vyuma vimekaza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nikimaliza kukutag nakupigia na simu kwa msisitizo