Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]waje waone miguu kama mishikio ya ndoo, wengine miguu Kama mihogo
Unapenda ehhHali inakoelekea hata thread za vibamia zitaanza kupata picha, watu wataweka dushe zao kuthibitisha sio vibamia weraaaa weraaaa can't wait for the day!!!!!!!
Hebu rusha hiyo mibanio yako tuone bwana.
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
Usiache kunitag ikitokea kwakweli.Hali inakoelekea hata thread za vibamia zitaanza kupata picha, watu wataweka dushe zao kuthibitisha sio vibamia weraaaa weraaaa can't wait for the day!!!!!!!
Haha mimi jana nilicheka sana hadi mabvu zikaniumaHahaha
Hali yako Mkuu, karibu tuendelee kufurahia neema za Allah
Eti mibanio.. naona kuna jamaa kairusha mmeanza kumwambia ni ya kike.Hebu rusha hiyo mibanio yako tuone bwana.
Yaani hii mada ni fungua mwaka, halafu sijaona miguu yako humuHaha mimi jana nilicheka sana hadi mabvu zikaniuma
Hahaha miguu yangu haina vinyweleo ngoja vikuekue utaionaYaani hii mada ni fungua mwaka, halafu sijaona miguu yako humu
Rusha mihogo hiyo bwana.Eti mibanio.. naona kuna jamaa kairusha mmeanza kumwambia ni ya kike.
nani anataka kuambiwa anamiliki mipini ya majembe.
[emoji125] [emoji125]Rusha mihogo hiyo bwana.
Mie wa afya mwaya, pumzi yatosha mengine ni ziada tuu
HahahaHahaha miguu yangu haina vinyweleo ngoja vikuekue utaiona
Hahahahacheck guu la bia hilo![]()