Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi safari buku tano😂😂😂😂. Huna hela wewe safari buku tano wapiiii??...Wanaume tunapokunywa lager,
Kimbia jikon ukakae na dada zako...
Kunywa lite ni umama,niliko lite 6 ni buku 10 (promotion),
Safari moja buku 5...
Sawa nimekubali,sikupangii,Acha kupangia watu maisha Mkuu, kama mtu ananunua Kwa fedha yake na kama mtu anatumia kitu anachojifeel nacho na mwisho si vizuri kupangiana maisha.
Nimechangia hivyo ila Mimi ni mdau wa Ile kitu inaitwa special for decision makers ( konyagi).
Mkuu mnywaji mwenzangu acha kuwanyanyapa hao wenzetu wanaotumia hizi lite kuna kipindi nilikuwa nawashangaa sana wanaume wenzangu wanaotumiag savanna ila nimeshawazoea na kuwakubali .
Kila mtu ana Uhuru wa kunywa kinywaji vile anavyojisikia.
Haiwezekani kupangiana what to like or dislike we are unique
sawa mkuuTutampa demu wako mimba usijar
si umeokoka na una mke 😂Wale wazee wa chang'aa tujuane hapa
Kwenye ngumu haupo,
Kenge we
Kwenye ngumu haupo,
Kenge we
ZawadadaHuyu kaamua kutunanga tu ila mimi nakunywa flyifisshi
Unataka mapacha ausawa mkuu
Zimeandikwa wapi?Zawadada
Unalialia nini sasa?si ujikaze.
Jibu mapigo.
Dar es salaam tabu kweli
Huzioni tu ni soft au mpaka uwekewe chapa ya jinsia inasukari pia mwanaume safari huanzisha nyingine usipende kuwa soft utashindwa kunyanduana sema hiyo nayo inaletaga ngenye sana kama Huna mtu ni hasara Kwa mnywajiZimeandikwa wapi?
Mshamba wewe ujatembea,Wapi safari buku tano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Huna hela wewe safari buku tano wapiiii??...
Dar es salaam mmezoea kufumuliwa marinda,
Hamuwezi kujibu hoja bila kutaja mnavyofanywa.
Kwa hiyo nikiwa nimeokoka siruhusiwi kupata kinywaji?si umeokoka na una mke 😂
pata tu, ila kisiwe na kilevi....Kwa hiyo nikiwa nimeokoka siruhusiwi kupata kinywaji?
Mwambie Half american akueleww huyoHuzioni tu ni soft au mpaka uwekewe chapa ya jinsia inasukari pia mwanaume safari huanzisha nyingine usipende kuwa soft utashindwa kunyanduana sema hiyo nayo inaletaga ngenye sana kama Huna mtu ni hasara Kwa mnyaji